- 19
- 81 911
The HR Tanzania
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 23 ก.พ. 2011
This channel is dedicated to provide you with knowledge on human resource management, leadership, business and other life skills hacks. It intends to unleash your potential to the fullest :) Feel free to comment but remember to keep your comments respectfully.
Kindly subscribe so you won't miss any update from us.
_____________________________________________________________________________________________________
Chaneli hii imejikita katika kukupatia maarifa kwenye masuala ya menejiment ya rasilimali watu, uongozi, biashara na mbinu nyingine za maisha. Inalenga kukuwezesha kuutambua na kuungeza uwezo wako kwa kiwango cha juu kabisa. Kuwa huru kutoa maoni lakini kumbuka kutoa maoni yenye staha.
Tafadhali subscribe ili usikose kila taarifa kutoka kwetu.
Kindly subscribe so you won't miss any update from us.
_____________________________________________________________________________________________________
Chaneli hii imejikita katika kukupatia maarifa kwenye masuala ya menejiment ya rasilimali watu, uongozi, biashara na mbinu nyingine za maisha. Inalenga kukuwezesha kuutambua na kuungeza uwezo wako kwa kiwango cha juu kabisa. Kuwa huru kutoa maoni lakini kumbuka kutoa maoni yenye staha.
Tafadhali subscribe ili usikose kila taarifa kutoka kwetu.
MIKATABA YA AJIRA (Maana, Aina, Sifa na Umuhimu wa Mkataba wa Maandishi)
MIKATABA YA AJIRA (Maana, Aina, Sifa na Umuhimu wa Mkataba wa Maandishi)
มุมมอง: 70
วีดีโอ
Maswali na Majibu Kuhusu Human Resource Management
มุมมอง 533 หลายเดือนก่อน
Maswali na Majibu Kuhusu Human Resource Management
MSONGO WA MAWAZO KAZINI: SABABU NA NAMNA YA KUKABILI
มุมมอง 4083 ปีที่แล้ว
Msongo wa mawazo ni suala tunalokumbana nalo kila wakati. Msongo wa mawazo si kitu kibaya mara zote lakini inapozidi kiasi ni hatari sana kwa afya ya akili na mwili. Video hii ina ainisha sababu za msogo wa kazi maeneo ya kazi na namna ya kukabiliana. The HR Tanzania Kelvin Mwita
UNATAFUTA AJIRA? TAZAMA VIDEO HII
มุมมอง 9233 ปีที่แล้ว
Ili kupata ajira unahitaji kuwa na taarifa sahihi ili zikusaidie kupata ajira ya ndoto zako. Video hii inaainisha mambo kadaa unayopaswa kuyafahamu ili uweze kupata kile unachokitafuta. Karibu The HR Tanzania The HR Kelvin Mwita Job Interview
MBINU ZA KUSHINDA JOB INTERVIEW
มุมมอง 10K3 ปีที่แล้ว
Pamoja na maandalizi mazuri ya usaili unayopaswa kuyafanya unahitaji kujua mbinu zinazoweza kukusaidia kufanya vizuri kwenye usaili wa kazi. Video hii ni mahususi kwa ajili ya kuanisha mbinu za kushinda job interview. Karibu. The HR Tanzania Kelvin Mwita Job interview
NINI UFANYE UNAPOGUNDUA ULICHAGUA FANI USIYOIPENDA
มุมมอง 2783 ปีที่แล้ว
The HR Tanzania Kelvin Mwita #TheHR
MADHARA YA KIONGOZI KUTENGENEZA MAZINGIRA YA KUOGOPWA
มุมมอง 1503 ปีที่แล้ว
Baadhi ya viongozi utumia wanafikra kwamba kuogopwa ni sifa nzuri ya kiongozi bora. Video hii ina ainisha madhara yanayoweza kuababishwa na kiongozi kutengeneza mazingira ya kuogopwa maeneo ya kazi. The HR Tanzania The HR
AINA YA WATU WANAOTAFUTWA NA WAAJIRI
มุมมอง 3.4K3 ปีที่แล้ว
Ili kujiweka katika nafasi nzuri katika soko la ajira ni vyema kujua sifa zinazotafutwa na waajiri. Video hii inatanabaisha baadhi ya sifa walizonazo watu wanaotafutwa na waajiri. Karibu kuitazama. The HR Tanzania The HR
SABABU 5 KWANINI HAUFANYI VIZURI KWENYE JOB INTERVIEW
มุมมอง 9903 ปีที่แล้ว
Kama umefanya job interviews kadhaa na haujafanikiwa, hizi zinaweza kuwa sababu kwa nini. The HR Tanzania The HR
USIKUBALI AJIRA IATHIRI VIBAYA MAISHA YAKO MENGINE
มุมมอง 2694 ปีที่แล้ว
Ajira yoyote (ya kujiajiri au kajiriwa) inahitaji jitihada na muda ili ifanywe kwa ufanisi! Ikumbukwe pia hii ni moja ya sehemu ya maisha lakini siyo sehemu pekee. Ni bora kujifunza kuyapa mambo mengine umuhimu ili kuyafurahia maisha na kuwa sehemu ya jamii ili kuwa chanzo cha furaha katika maisha ywtu wenyewe, familia zetu na jamii inayotuzunguka! #WorkLifeBalance #MaishaNjeyaAjira The HR Tanz...
MAMBO YA KUZINGATIA NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW
มุมมอง 38K4 ปีที่แล้ว
The HR Tanzania The HR
MAMBO YA KUFANYA WAKATI WA UTUMISHI/AJIRA KAMA MAANDALIZI YA KUSTAAFU
มุมมอง 1.1K4 ปีที่แล้ว
Kuna siku moja ambayo utumishi au ajira yako itakoma. Umejiandaaje? Fuatilia video video hii kwa dondoo za nini tufanye kipindi hiki tukiwa watumishi ili kuepuka fedheha na majuto hapo baadaye The HR Tanzania The HR
Mambo ya Kuzingatia Unapojiandaa na Usaili wa Kazi/Job Interview
มุมมอง 8K4 ปีที่แล้ว
Mambo ya Kuzingatia Unapojiandaa na Usaili wa Kazi/Job Interview
Mambo ya Kuzingatia kwa Kiongozi ili Kujiongezea Ushawishi
มุมมอง 6384 ปีที่แล้ว
Mambo ya Kuzingatia kwa Kiongozi ili Kujiongezea Ushawishi
Namna ya Kujiongezea Thamani kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu
มุมมอง 5474 ปีที่แล้ว
Namna ya Kujiongezea Thamani kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu
Mambo ya Kuzingatia Ili Kufanya Uchaguzi Sahihi wa Kozi/Programme ya Kusoma
มุมมอง 17K6 ปีที่แล้ว
Mambo ya Kuzingatia Ili Kufanya Uchaguzi Sahihi wa Kozi/Programme ya Kusoma
Shukrani kwa msaada huu
Your good bro thanks 😊❤
Good boy I like it ❤
Dah, brother you talk a lot, very importantly For myself you filled me confidence 😂🙌🏾
Kaka asante kwa mwongozo wako mzuri,naomba utupatie video ya mfano wa interview katika kada ya elimu
Okorebuya mosani
Sir thank you but try kutuwekea za kingereza pia zitatusaidia sana please 🙏🙏🙏
Shukran sana teacher nimepata kitu 💯
Unachozungumza kina ukwel bro shida ni kwamba michongo ina nafas kubwa sana kwa Dunia ya leo
Nice video bro
Good
Asante sana kiongozi
Safi
Kitambo kaka mwita,lakini wafundishe I zaidi vijana kuzitambua na kutumia natural talent zao nanyi mbakie kutengeneza njia ambazo zinautilize vizuri resources
Tunaweza kupata namba yako
Kwa ushaur TU mm ni mzazi Natka nishauliane na mwanangu anasoma Kombi ya EGM
Shukran
I like it mr
Wenye result sleep wanapokelewa
Asante sana kwa mafunzo mazuri
Thank you so much, this is very helpful.
Msaada isee
Unijibu
International business ni nzur?
Acha kujidanganya... mbinu ni Moja tu tumia Hela upate Hela kama una D mbili ushaelewa
Kaka mkubwa nipe mbinu za kufaulu utumishi maana nishafanya sana usaili sitoboi
bwana HR TZ ur the best I can tell asante sana nime apply kazi kadhaa recentryndo mana niko hapa
kaka umeeleweka sanaaaa
Ubarikiwe
OK kiongoz tunashukuru kwa mwongozo huu.... 🙏🙏
🤲🤲
Umetisha broh
Sorry mfano swali linasema unataka tukulipe sh ngap unajibuje apo 😳
Interview haiwezi fanyika kwa kiswahili
Am excepting an interview few days ago but umenitoa uoga aseeee kumbe wao ndo wananihitaj so mm kuhtaj kaz kiviiiiiile safiiiii
Nakuelewa sana sema tu kujieleza in English😅achen2 Allah asimame
Watumishi wengi hatupendi kusikia habari za kustaafu utadhani hizo kazi ni zetu milele
Thank you
Asante
Thanks bro
Asante sana kaka nimejifinza vitu vingi kupitia video hii
Thanks sir
Barikiwa sana sana
😒apo kwny tabasamu 😑co kote jmn 🌚nilienda kufanya usahili CRDB bank ☹️tabasamu lilinikosesha kazi
😀😀😀😀😀pole dear
Polee
😂😂😂
kaka inategemea umetabasamu vipi😂😂
Well and good brooo...inspirational work be blessed
Thanks brother I wish you all the best
Ubarikiwe mkuu wa Kitengo
Thank you
Asante sanaaa kwa kuniongezea maarifa
Hii nzur
thanks