- 45
- 28 348
Elias Mwinuka
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 15 ม.ค. 2024
วีดีโอ
Athali za mazingira ya asili katika maisha ya kila siku | Elias Mwinuka
มุมมอง 196หลายเดือนก่อน
@EliasMwinuka
Namna mazingira yalivyokupelekea kuwa jinsi ulivyo | Elias Mwinuka
มุมมอง 177หลายเดือนก่อน
255752581521 @EliasMwinuka
Mchango wa mazingira na vinasaba katika maendeleo ya mtu | Elias Mwinuka
มุมมอง 145หลายเดือนก่อน
@EliasMwinuka
Namna bora ya kuwekeza katika miaka ya mwanzo ya mtoto | Elias Mwinuka
มุมมอง 4422 หลายเดือนก่อน
@EliasMwinuka
Usimchukulie poa mtu yoyote | Elias Mwinuka
มุมมอง 703 หลายเดือนก่อน
Usimhukumu mtu kwa kuangalia kilichotokea tu bali tazama na nyumba ya tukio @EliasMwinuka
Mzazi ni mwalimu wa kwanza na wa kudumu
มุมมอง 2664 หลายเดือนก่อน
Mzazi ni mwalimu wa kwanza na wa kudumu
Baada ya mtaala mpya shule ifanye nini
มุมมอง 544 หลายเดือนก่อน
Baada ya mtaala mpya shule ifanye nini
Fahamu ujuzi/stadi hizi muhimu ili ufanikiwe maishani
มุมมอง 2.7K5 หลายเดือนก่อน
Fahamu ujuzi/stadi hizi muhimu ili ufanikiwe maishani
Kwanini baadhi ya watu wanafanikiwa licha ya kupitia magumu sana maishani mwao
มุมมอง 6165 หลายเดือนก่อน
Kwanini baadhi ya watu wanafanikiwa licha ya kupitia magumu sana maishani mwao
Ijue kanuni ya ubongo: nitumie au nipoteze
มุมมอง 1.4K5 หลายเดือนก่อน
Ijue kanuni ya ubongo: nitumie au nipoteze
KWANINI NCHI ZINAZOENDELEA WANAKUFA MAPEMA
มุมมอง 2815 หลายเดือนก่อน
KWANINI NCHI ZINAZOENDELEA WANAKUFA MAPEMA
Umuhimu wa Tathmini ya maendeleo kwa mtoto
มุมมอง 1515 หลายเดือนก่อน
Umuhimu wa Tathmini ya maendeleo kwa mtoto
Vita kati ya umri na jitihada zinazotumika kukuza ubongo
มุมมอง 1296 หลายเดือนก่อน
Vita kati ya umri na jitihada zinazotumika kukuza ubongo
Maeneo ya ubongo hukua kwa kushirikiana
มุมมอง 1756 หลายเดือนก่อน
Maeneo ya ubongo hukua kwa kushirikiana
Vinasaba hutengeneza ramani tu, bali mazingira uzoefu na mahusiano huamua eneo lipi la ubongo likue
มุมมอง 636 หลายเดือนก่อน
Vinasaba hutengeneza ramani tu, bali mazingira uzoefu na mahusiano huamua eneo lipi la ubongo likue
Utamtambuaje mtu anaesumbuliwa na Trauma?
มุมมอง 946 หลายเดือนก่อน
Utamtambuaje mtu anaesumbuliwa na Trauma?
Kaka kinanda kinachukuwa usikivu asilimia 50 wa unacho zungumza
great
Nimejifunza kitu, ubarikiwe
Amen thanks for the advice,be blessed
❤
Asante kwa darasa
Shukran
Thank you 😊
Kaka sauti haiko sawa samahani.content nzuri lakini vinanda vimezidi sauti.
Mhmm 🙄mbona Iko poa jamon
Nimejifunza mengi ktk somo hili
Karibu sana
🙏🙏🙏🙏
Good talent
Ubarikiwe
Nimeipenda hiyo umenena lakni house kipper hawezi akawa amemaliza na akubali kufanya hiyo kaz maboss wao hua wanafanya makusudi na kuwadharau
Mungu akutunze kaka elias
Kweli kabisaaaa huwa tunamhitaji mtu mmoja tu katika maisha .... Nakumbuka kuna kipindi nilikata tamaa kuwa sitaweza kwenda chuo kikuu lakini alikwepo mtu mmoja ambaye ni wewe aliyetambua thamani yangu na kutoa order kwa mkurugenzi wa kituo fulani hadi sasa niko hapa nilipo ....ulikuwa upo ofisi za CIT)... Mungu akuhifadhi milele kwa ajili ya kuwavusha watu wenye maono
Hii ni kweli kabisa na nimelishuhudia
Mungu azidi kukuinua mr Elias
❤
Kaka Elias Mungu akutunze milele
Nguruvi atutangage mwee😊
Ndiwenda nene😅
Nshapitiuko mpakasasa sinahamu yakuwa na mke nifanyajetena
Wasiliana nami kupitia namba zilizo kwenye video tukusaidie
somo zuri sana
❤
Safi 🎉
Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa.!
Sauti IPO chini sana kak
Uko vizuri. Oni langu naomba uangalie chumba kipindi una record mana hapa nimepata shida kusikiza
Nimeichukua hii kaka ❤
Napenda san upo kisayansi zaid
Napenda sana unatoa critical mind
Hongera endelea kutupa chakula cha ubongi
sawa kaka nimekuelewa
Kwasabbu mtoto atapata changamoto kwenye ulaji hata namazingira pia yakichangia kua magumu je mzazi huyo utamshaulije
Je Unamshauri vip mzazi Alieharakia kuzaa kwenye wakati mgumu kwamfano hana uwezo wakutumia lishe kwaajiil yamtoto amlee vivyohivyo au afanyaj
Real sir ahsanteh kwa elimu nzur
Acha nijipende mwenyewe sababu Sina bahati katika mahusiano kabisa
❤
Pole😢
Kuanzia Leo nitaanza kukufuatilia maana unaongea fact Sana zinazonisaidia.
Good lesson.
good😃
Nakubali
❤
This is great...!
Nataka mawasiliano na ww plz
Great
🎉
ASANTE BABA KWA KUTUELIMISHA UBARIKIWE🙏
Waoh, hii Elimu ni njema sana.
Asante, karibu sana
Asante Kwa ujumbe