- 220
- 20 996
Jsy jumaa
เข้าร่วมเมื่อ 28 ม.ค. 2016
Manhaji Ssalafiyyah
วีดีโอ
MANENO YA SHAYKHUL ISLAM IBN TAYMIYYAH (Rahimahu LlaaH)
มุมมอง 3628 วันที่ผ่านมา
Ustaadh: Abuu ZayD حفظه الله تعالى ورعاه
INASEMEKANWA KATIKA MAISHA YA BARZAKH
มุมมอง 96หลายเดือนก่อน
Ustaadh: Abuu ZayD حفظه الله تعالى ورعاه
KUWA MAKINI SANA KWENYE MASAAIL YA NDOA
มุมมอง 89หลายเดือนก่อน
Ustaadh: Abuu ZayD حفظه الله تعالى ورعاه
KINACHOZINGATIWA NI HEDHI, WALA SIO MIEZI•
มุมมอง 19หลายเดือนก่อน
Ustaadh: Abuu ZayD حفظه الله تعالى ورعاه
MAHIZBI WANAMATATIZO MAKUBWA MATATU
มุมมอง 20หลายเดือนก่อน
Ustaadh: Abuu Haatim حفظه الله تعالى ورعاه
Udhaifu mkubwa wa baadhi ya wanaojiita Masalafi ni kuhubiri utengano kitu ambacho ni kinyume na Quran na Sunna. Kanuni ni kwamba mtu akikosea jambo moja haimaanishi kakosea yote hivyo hapaswi kutengwa kwenye mambo mengine bali ni kuwa wamoja.
@@sadikiissa7756 na hiyo ndio sababu bid'a zimekuwa nyingi kwa kufumbia macho ambayo yamekatazwa kisha hatuambiani ukweli na tunakumbatiana, dawa kubwa ni kufuata alichosema Mtume Muhammad (ﷺ). La sivyo hakuna ataesalimika kweli hayo mambo Akhuy: baaraka llaahu fiyka
@@Jsyjumaa Kukataza Bidaa si kosa bali kosa ni ninyi kuvuka mipaka ktk kukufurisha watu endapo wakionekana hawafuati fatwa zinazoendana na ninyi hali ya kuwa zipo fatwa nyingi ktk Wanazuoni wa Kisalafi. Kingine ni kwamba mnahimiza Sana utengano badala ya mshikamano. Yaani kosa moja tu ni rahisi kukufurishwa na kutolewa ktk Uislam na ninyi kitu ambacho si Sahihi.
@@Jsyjumaa Kiujumla daawa ya salafiya ni nzuri na ubaya wake ni kule kuhimiza utengano.
@@sadikiissa7756 si kweli juu ya hili Akhuy: kaa darsani kwanza utaenda elewa inshaa Allah.
@@sadikiissa7756 Da'watu salafi wala haiihimizi utengano, bali mtu mwenyewe ndio anajitenga na da'wa ssalafiyyah cause hii da'awa haijajengwa juu ya kubebana bali ni kuambizana ukweli na ikiwa umenasihiwa na hutaki elewa watu wanakuRaddi na ikiwa bado huelewi basi ndipo wanakunyamazia na wala hawakufatilii wala kukuskiza hadi utaraaja'
Jazakallāhu khayran
Shukran sheik jazaaka Allahu khayran Mm nina swali je msafirivaliyesafi mahala akaa huko miaka 3 au 2 je huyu anawajibika kupunguza swala ?
Mashaallah
Kwani kila ambacho Mtume hakukifanya ndio haifai kufanywa?
Acha ujinga wewe mzembeee...kwanza tafuta vitabu uwendelee kusoma kwa Mashekhe na sio ujisomeshe kwa Google
Sasa kwa maelezo hayo ya kunyanyua mikono baada ya swala jee ni kunyanyua kwa sababu ya uchizi au kitu gani kama si kuomba dua?
sheikh as.alaykum nauliza inapopanda muhutubu si in atakiwa mtu asiseme wala kuzungumza jee mbona hawa watu walimuliza muhutubu
Wapi kakatazwa kunyanyua mkono kuitikia dua baada ya Salah...
Dua ni muhimu, Salah ni ibada baada ya ibada omba mola wenu bila khofu
Ma shaa Allah vizuri kwa mafudisho nzuri sana may Allah grant u much bless
KAMA DUA NI BAADA YA SALA IWEJE UKATAZE ?
Tatizo inachoangaliwa ni vile mtume alivyofanya ibada Fulani,tunatakiwa KUFUATA kama ilivyo.sio kubuni TU.hiyo ndio shida
UNATOA HADITH UNAZOTAKA WEWE NA AMBAZO HUZITAK HUZISOMI ETI KUSOMA DUA BAADA YA SALA ZA SUNNA YAFAA BAADA YA SALA Y FARADH HAIFAI HUO NI UJUHA
Unajua kunyanyua shekhe kasome ndipo upinge hii dini huyu anasomesha kama hutaki wewe acha
Iyo swala no duwa viti tena usome duwa wapi IPO kw
@@mariammohd3515 KABISA,unajia watu Huwa hawaoni haya KUPINGA uhalisia, duu! Allah ATUONGOZE sote
Ni ujinga mkubwa mnoo. Yaani hawa wazungumzaji wa sikuhizi wapumbavuu
HADITH SWAHIHI RASULULLAH AMESEMA MNAPOKUSANYIKA MMOJA AKAOMBA DUA WENGINE WAKAITIKIA AMIN MOLA HAIREJESHI DUA HIYO
Kwa wakati gani
Unatoa hadith y kuthibiti kunyanyua mikono halafu unaleta Rai zako ambazo hazinamsingi
Hiyo witiri inasomwa sura gani
Shukran
Jazaakallahukhayra
asante kwaujumbe muzur mashall
mashaallah nmepata ufahamu leo
Baraka Allah fiq
Kwa ninavoyahamu maelezo ni kwamba sehemu kubwa ya shekhe katumia raii
Shekhe nataka kujua hizo fatwa umezitoa katika kitabu gani? naomba kujua in shaa Allah.
Omar Ameir Salum kwahyo hujatosheka na hoja hzo
Barak'Allah fiq
shukran jazakallah kheri
Jo
jazakallah kheir
Allaah amuhifadhi shaykh abuu zayd.
Mashallah ,Allah grant you janah Firdaus Al Akhy
Masha Allah
Masha Allah
Ma Shaa Allah
Mashaa Allah
mashallah,Allah akuhifadh Ostadh
Kitwana Kalwa Amiin