- 269
- 36 598
Mzalendo News
เข้าร่วมเมื่อ 6 ม.ค. 2023
Mzalendo News ni Channel ya Mtandaoni (Online TV) Kutoka Tanzania na Inaripoti Matukio Yote ya Ndani na Nje ya Tanzania Kila Siku Kupitia kwa Kuzingatia Weledi na Maadili Yanayoongoza Katika Tasnia ya Habari.
Pia Unaweza Kupata habari Zetu Kupitia Website/Blog Yetu mzalendo.co.tz
Pakua App Yetu kupitia PlayStore au AppStore Mzalendo au Tufuatilie Kwenye Mitandao Yetu ya Kijamii @MzalendoBlog
Pia Unaweza Kupata habari Zetu Kupitia Website/Blog Yetu mzalendo.co.tz
Pakua App Yetu kupitia PlayStore au AppStore Mzalendo au Tufuatilie Kwenye Mitandao Yetu ya Kijamii @MzalendoBlog
HATARI!! ANGALIA MAMIA WANAVYOTESEKA NA MAFURIKO NCHINI JAPAN
#japan #japanese #flood #asia #dodoma
มุมมอง: 98
วีดีโอ
UKWELI WOTE KUHUSU MLIPUKO WA LEBANON HUU HAPA
มุมมอง 547 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#lebanon #israel #vita #hungary #afp #voa #reuters #hezbollah #hezbollahvsisrael #bbc
TAZAMA JINSI MLIPUKO ULIVYOTEKETEZA MAISHA YA WATU NCHINI LEBANONI
มุมมอง 1337 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#lebanon #mauaji #kimataifa #hezbollah #arabic
VITA YAANZA UPYA!! UKRAINE YASABABISHA MAAFA URUSI
มุมมอง 1067 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#ukraine #urus #vita #putin #putinvladimir #bbcnews #voa #afp #kimataifa #oman #kenya #uganda
MAPYA! YAIBUKA FAMILIA YA BINTI WA KAZI ZA NDANI ALIYEUAWA DODOMA YAJITOKEZA , YATOA UFAFANUZI
มุมมอง 3.7K9 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#dodoma #ikulumawasiliano #msiba #tanzania #tanzanianyoutuber #polisi #ccm #ccmzanzibar #ayo #wasafi #samiasuluhuhassan
BABA WA MTOTO ALIYEUAWA NA KUCHOMWA MOTO DODOMA ATOA NENO ZITO
มุมมอง 1.5K9 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#polisi #ikulumawasiliano #samiasuluhuhassan #mazishi#wasafi
UVCCM YAWA MBOGO KWA VYAMA VINAVYOWATUMIA VIJANA KUHARIBU AMANI YA NCHI
มุมมอง 14012 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#ccm #ccmzanzibar #uvccm #uvccmtaifa #habari #siasa
KISA MAUAJI:DADA ASUSIWA MWILI WA MDOGO WAKE DODOMA/AOMBA MSAADA
มุมมอง 4.9K12 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#ikulumawasiliano #wasafi #ccmzanzibar #ccm #polisi
HOTUBA YA MOTO : RAIS SAMIA AFICHUA MBINU ZA KIHALIFU ZA CHAMA CHA UPINZANI
มุมมอง 44012 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#ccm #ccmzanzibar #siasa #chademamedia #ikulumawasiliano #diplomasi
TAZAMA BALAA LA HUYU ASKARI AKIVUTA PIKIPIKI KWA MENO MBELE YA RAIS
มุมมอง 15812 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#ikulumawasiliano #ikuluzanzibar #jkt48 #jkt48member #polisi
INATISHA : MAUAJI MENGINE DODOMA
มุมมอง 61512 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#mauaji #tanzania #tanzaniamilitary #tanzanianyoutuber #ikulumawasiliano #samiasuluhuhassan
INASHANGAZA! CHIFU WA WANGONI ALIVYOZIKWA NA WATU WAWILI WAKIWA HAI
มุมมอง 15612 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#guinnessworldrecords #utalii #serikali#wizarayahabari #songea #majimagoro
ULINZI MKALI : TAZAMA JINSI WALINZI NA POLISI WALIVYOPIGA KAMBI NYUMBANI KWA TRUMP
มุมมอง 1.2K14 ชั่วโมงที่ผ่านมา
ULINZI MKALI : TAZAMA JINSI WALINZI NA POLISI WALIVYOPIGA KAMBI NYUMBANI KWA TRUMP
HALI NI MBAYA ULAYA YA KATI, VIFO WATU WAKOSA MAKAZI
มุมมอง 16214 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#poland #ukraine #cech #norway #uingereza #marekani
TAZAMA JINSI TRUMP ALIVYONUSURIKA JARIBIO LINGINE LA MAUAJI
มุมมอง 2.3K14 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#trump #trump2024 #republican #washington #california #biden #kamaraesthetic
VILIO VYATAWALA MWILI WA MWANARIADHA CHEPTEGEI UKIWASILI UGANDA
มุมมอง 9119 ชั่วโมงที่ผ่านมา
VILIO VYATAWALA MWILI WA MWANARIADHA CHEPTEGEI UKIWASILI UGANDA
WANANIHUJUMU : RAIS WA SENEGAL AVUNJA BUNGE, AITISHA UCHAGUZI WA GHAFLA
มุมมอง 7921 ชั่วโมงที่ผ่านมา
WANANIHUJUMU : RAIS WA SENEGAL AVUNJA BUNGE, AITISHA UCHAGUZI WA GHAFLA
IRANI YAZISHUTUMU UINGEREZA NA MAREKANI KUWA WACHOCHEZI WAKUU WA VITA DUNIANI
มุมมอง 256วันที่ผ่านมา
IRANI YAZISHUTUMU UINGEREZA NA MAREKANI KUWA WACHOCHEZI WAKUU WA VITA DUNIANI
MALI YAENDELEA KUVIADHIBU VYOMBO VYA HABARI VYA UFARANSA
มุมมอง 39วันที่ผ่านมา
MALI YAENDELEA KUVIADHIBU VYOMBO VYA HABARI VYA UFARANSA
SERIKALI YATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2024
มุมมอง 46หลายเดือนก่อน
SERIKALI YATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2024
HII HAPA KAULI YA POLISI KIFO CHA MANDOJO, MMOJA ATIWA MBARONI
มุมมอง 20หลายเดือนก่อน
HII HAPA KAULI YA POLISI KIFO CHA MANDOJO, MMOJA ATIWA MBARONI
RAIS DKT. SAMIA ATOA UJUMBE MZITO KWA MAAFISA UGANI NA MAAFISA USHIRIKA
มุมมอง 9หลายเดือนก่อน
RAIS DKT. SAMIA ATOA UJUMBE MZITO KWA MAAFISA UGANI NA MAAFISA USHIRIKA
KAMA UNATAKA UFUGAJI UKUNUFAISHE TAZAMA HII KUTOKA TVLA
มุมมอง 26หลายเดือนก่อน
KAMA UNATAKA UFUGAJI UKUNUFAISHE TAZAMA HII KUTOKA TVLA
THBUB YATOA TAMKO ZITO JUU YA VIDEO YA UKATILI INAYOSAMBAA MITANDAONI
มุมมอง 23หลายเดือนก่อน
THBUB YATOA TAMKO ZITO JUU YA VIDEO YA UKATILI INAYOSAMBAA MITANDAONI
HILI HAPA TAMKO LA UWT KUHUSU TRENI YA KISASA (SGR)
มุมมอง 92หลายเดือนก่อน
HILI HAPA TAMKO LA UWT KUHUSU TRENI YA KISASA (SGR)
MAPYA YAIBUKA UCHAGUZI TLS : WAKILI NKUBA KUPINGA MATOKEO YA URAIS
มุมมอง 8หลายเดือนก่อน
MAPYA YAIBUKA UCHAGUZI TLS : WAKILI NKUBA KUPINGA MATOKEO YA URAIS
HAYA HAPA MAAGIZO MATANO YA DKT. BITEKO NANE NANE
มุมมอง 17หลายเดือนก่อน
HAYA HAPA MAAGIZO MATANO YA DKT. BITEKO NANE NANE
MIZIMU YA KIGOGO YAWATESA WAZUNGU, TAMBIKO LAFANYIKA KUWAOMBEA MSAMAHA
มุมมอง 1082 หลายเดือนก่อน
MIZIMU YA KIGOGO YAWATESA WAZUNGU, TAMBIKO LAFANYIKA KUWAOMBEA MSAMAHA
WIZARA YA AFYA YATENGA BILIONI 100 KUIPATIA MTAJI MSD
มุมมอง 62 หลายเดือนก่อน
WIZARA YA AFYA YATENGA BILIONI 100 KUIPATIA MTAJI MSD
😢😢😢😢😢.. inalilahi wainailahi rajiun inauma jaman
Jaman kuna muda ndugu tuwe na uruma na moyo msiba umetokea nasio dada wa kaz pekeyake na boss na watoto yan munashindwa kujichanga nyny familia na baba wa watu awasapit naakat anamajonz apa mkewe yuko hosptal tuwe na moyo binadamu sis.
Hawa ni Iran
Waja hatuna huruma kwa maxito yaliyomkuta mwenzenu awasafirishie maiti
Inna lillah wainna illaih raajioun Allah ampe kauli thabit amsameh alipokosea poleni sana
Kwanini Trump wanataka kumuua Rais wetu wa Dunia tunamtarajia
Mungu tupe mwisho mwema kila siku matukio yakutisha pamoja na vifo vya kutisha wapi tunaelekea 😢😢😢
Hani inasikitisha sana tena sana pole kaka kwa msiba mzito ila tumkabizi mungu kwa haya yanayo tendeka ndio jibu letu
Duhh pole Sana Kaka Mwenyezimungu awe faraja kwako! Innalilah wainnaylilah rajiuun!
AaminaYaarabi sijui ninani Jamani sisi watu wabaya
SubhanaAllah
Pole sana kaka 😢😢
Family ya geita acheni kususa mwili wa marehemu. Family ya boss wameuawa watoto wawili mama yao yuko mahututi Sasa mnasusa iliiweje. Hapo kikubwa serikali isimamie kusafirisha mwili wa geita. Huyu baba kiatu chake hakitoshi kuvaa 😢😢
Tumsaidieni wote Kuna mambo tuna fanya lakini hayana maana yoyote iweje Hili lishindikane ndugu msisuse bosi nae binadamu kapatwa makubwa sio vizur
Dah hao ndugu wa geita waache kutumia akili za kuususa mwili bosi nae kapata tatzo wawe nauruma kwani huyo bosi alikuwa anajuwa tatzo litatokea wawe na utu
Naomba mawadsiano
Naomba nitumie maeasilisno nitume chochote
Tani 10 sawa na malori 500? 😢😢😂
Hawa Simba wanapenda sana kitembelea nyota ya Yanga😅
Polisi wametisha, kama KGB ya Russia vile
Mh mhengelwa mwanza ni jiji lenye watu wengi ingependeza pangekuwa na kiwanja cha kisasa ccm kirimba hakifai tunataka tuone afcon inachezwa mwanza
Hongera hao bila kuwafatilia huwa hawamalizi kwa wakati
Naombeni msaada wa kukutana na Huyu dada #Yammy😊
Allah amtangulie kwemye Majukumu yake mh Makonda ampehepushe na hila za😂Watu
Tapeli 😅😅 Kala Mlungula 😊
Simba lazima wachapwe hawapendi neno mashujaa, ukibadili likawa la kizungu (Warriors) ndo balaa zaidi🤣🤣🤣
Mheshimiwa waziri Msigwa, Je ujenzi wa uwanja mpya wa mpira Dodoma umefikia wapi? Sisi tunapenda sana kuendelea kupata habari za maendeleo ya ujenzi huo.
😂😂😂😂😂 et usiku wa manane
🔥🔥🔥
Walau amejionea. Akija atatuambia nini kinaendelea huko.
Mungu abariki sana katika kazi zangu,hakika kazi hii unaiweza ingawa ni ngumu lkn ni maswala ambayo uko na uwelewa nayo kwa mapana yake... Mungu akujalie ufanikishe salama na amani irudi kama kawaida katika ukanda huo,
Tunashukuru sana Mdau wetu endelea kuwa karibu na Mzalendo News pamoja mzalendo blog
❤❤
Kwani pm ni muisilam!?
Mzalendo news 🇹🇿
Kazi iendelee mdau wetu
Kazi nzuri sana
Utasemaje kwa sababu ya Simba? Simba ingekuwa peke yake kungekuwa na ligi? atacheza peke yake? Makolo bwana
Nimekubali msigwa umeamua kupiga kazi 😅
Hahahaha you are very behind
Mdogo mdogo tutafika tu