- 473
- 43 362
Ustadh Khatib Omar
เข้าร่วมเมื่อ 21 ต.ค. 2022
This is an official channel for Ustadh Khatib Omar, focusing on delivering islamic and general teachings.
ARABIC KHUTBAH: IMAM JUMA | MASJID AL JUMAA,KITUMBINI
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024
DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY
FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات
UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY
FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات
UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
มุมมอง: 7
วีดีโอ
JE, MTU MWENYE TABIA YA KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ANAWEZA KUONGOZA SWALA ?
มุมมอง 5607 ชั่วโมงที่ผ่านมา
USIKOSE KUFUATILIA DARASA HIZI KILA SIKU YA JUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA ADHUHURI, MASJID AL JUMAA, KITUMBINI NA USTADH KHATIB OMARY | IMAM MSAIDIZI #maswali
MKE ANADAI TARAKA LAKINI MUME HATAKI KUMPATIA KWA MADAI ANAJUA KUOA NA HAJUI KUACHA HUKMU YAKE IKOJE
มุมมอง 2227 ชั่วโมงที่ผ่านมา
USIKOSE KUFUATILIA DARASA HIZI KILA SIKU YA JUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA ADHUHURI, MASJID AL JUMAA, KITUMBINI NA USTADH KHATIB OMARY | IMAM MSAIDIZI #maswali
NILIKUWA NAOMBA UNIFAFANULIE KUHUSIANA NI KWA NAMNA GANI TUNAWEZA TEKELEZA SWALA TUKIWAPO SAFARINI
มุมมอง 657 ชั่วโมงที่ผ่านมา
USIKOSE KUFUATILIA DARASA HIZI KILA SIKU YA JUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA ADHUHURI, MASJID AL JUMAA, KITUMBINI NA USTADH KHATIB OMARY | IMAM MSAIDIZI #maswali
JE, NI KWA NAMNA GANI MKEO ANAWEZA KUTENGUA UDHU
มุมมอง 877 ชั่วโมงที่ผ่านมา
USIKOSE KUFUATILIA DARASA HIZI KILA SIKU YA JUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA ADHUHURI, MASJID AL JUMAA, KITUMBINI NA USTADH KHATIB OMARY | IMAM MSAIDIZI #maswali
JE, UGAWAJI WA MIRATHI WA KIMATUMBO UPOJE NA UJUZU ?
มุมมอง 197 ชั่วโมงที่ผ่านมา
USIKOSE KUFUATILIA DARASA HIZI KILA SIKU YA JUMATATU MPAKA AL KHAMIS BAADA YA ADHUHURI, MASJID AL JUMAA, KITUMBINI NA USTADH KHATIB OMARY | IMAM MSAIDIZI #maswali
ARABIC KHUTBAH: SYD ZAIN BADAWI | MASJID AL JUMAA,KITUMBINI
มุมมอง 2016 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
IFAHAMU SABABU YA KUPOTEA UISLAMU | UST,KHATIB OAMARY | AL MASJID KITUMBINI
มุมมอง 18519 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
SALAMA NA AMANI KATIKA UMMA WETU
มุมมอง 3521 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
KISOMO CHA IMAM IKIWA NYUMA ANAFUATWA NA HALI YA MAAMUMA WAKE IKOJE
มุมมอง 85วันที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
JUM`UAH KHUTBAH | UST. KHATIB OMARY | MASJID ARAB, KITUMBINI 04/10/2024
มุมมอง 14วันที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
TUNYOOSHE SAFU ZETU TUKIWA KWENYE SWALA | UST. KHATIB OMARY
มุมมอง 13214 วันที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
JUM`UAH KHUTBAH | UST. KHATIB OMARY | MASJID ARAB, KITUMBINI
มุมมอง 3121 วันที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
FAHAMU MACHUKIVU KUSWALISHA MTU AMBAE WAUMINI WANA MCHUKIA , JE ,JAMAA INASWIHI | UST,KHATIB OMARY
มุมมอง 23521 วันที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
ARABIC KHUTBAH: IMAM KHATIB OMAR | MASJID AL JUMAA,KITUMBINI 20/09/2024
มุมมอง 7228 วันที่ผ่านมา
#mawaidha #darsa #masjidkitumbini #khutbah #quran #koran #islam #2024 DARSA BAADA YA ADHUHURI | MASJID KITUMBINI | IMAM KHATIB OMARY FIQH ATTAHAULULATI | فقه التحولات UTAMBUZI WA MABADILIKO YA NYAKATI
UFAHAMU WA UISLAM KWA NINI ULIANZA MGENI NA UNAMALIZIKIA MGENI | UST, KHATIB OMARY
มุมมอง 56หลายเดือนก่อน
UFAHAMU WA UISLAM KWA NINI ULIANZA MGENI NA UNAMALIZIKIA MGENI | UST, KHATIB OMARY
JE MKE UKIMPA TALAKA TATU UNARUHUSIWA KUMRUDIA | UST,KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
มุมมอง 147หลายเดือนก่อน
JE MKE UKIMPA TALAKA TATU UNARUHUSIWA KUMRUDIA | UST,KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
JE WANAWAKE WANARUHUSIWA KUSWALIA JENEZA | UST,KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
มุมมอง 126หลายเดือนก่อน
JE WANAWAKE WANARUHUSIWA KUSWALIA JENEZA | UST,KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
ARABIC KHUTBAH: SYD ZAIN BADAWI | MASJID AL JUMAA,KITUMBINI 12/07/2024
มุมมอง 44หลายเดือนก่อน
ARABIC KHUTBAH: SYD ZAIN BADAWI | MASJID AL JUMAA,KITUMBINI 12/07/2024
SABABU YA DINI YETU KUTOKUWA NA ATHAARI TARAJIWA KIMA TOKEO | UST, KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
มุมมอง 86หลายเดือนก่อน
SABABU YA DINI YETU KUTOKUWA NA ATHAARI TARAJIWA KIMA TOKEO | UST, KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
ZIFAHAMU ISTIKHLAFU IMAM KUMCHAGUA KHALIFA IKIWA AMEPATA HUDHRU KWENYE SWALA | UST, KHATIB OMARY |
มุมมอง 72หลายเดือนก่อน
ZIFAHAMU ISTIKHLAFU IMAM KUMCHAGUA KHALIFA IKIWA AMEPATA HUDHRU KWENYE SWALA | UST, KHATIB OMARY |
JE INAFAA KUKATA UDUGU KWA MTU ALIYE {RITADI} KWA MAANA AMETOKA KATIKA UISLAM | UST, KHATIB OMARY
มุมมอง 212หลายเดือนก่อน
JE INAFAA KUKATA UDUGU KWA MTU ALIYE {RITADI} KWA MAANA AMETOKA KATIKA UISLAM | UST, KHATIB OMARY
JE NIKINA NANI WANAOFAA KUGEIWA MIRATHI | UST, KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
มุมมอง 47หลายเดือนก่อน
JE NIKINA NANI WANAOFAA KUGEIWA MIRATHI | UST, KHATIB OMARY | MASJID KITUMBINI
JE INAFAA KUHUDHURIYA KATIKA SHEREHE YA NDUGU YAKO ALIYE RITADI | UST, KHATIB OMARY
มุมมอง 78หลายเดือนก่อน
JE INAFAA KUHUDHURIYA KATIKA SHEREHE YA NDUGU YAKO ALIYE RITADI | UST, KHATIB OMARY
IFAHAM SHARTI YA 5 KUSWIHI SWALA YA JAMAA NA FADHILA ZAKE| UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
มุมมอง 103หลายเดือนก่อน
IFAHAM SHARTI YA 5 KUSWIHI SWALA YA JAMAA NA FADHILA ZAKE| UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
FAHAM KUKMU NA HEKMA ZA WANA ZUONI | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
มุมมอง 17หลายเดือนก่อน
FAHAM KUKMU NA HEKMA ZA WANA ZUONI | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
ARABIC KHUTBAH: SYD ZAIN BADAWI | MASJID AL JUMAA,KITUMBINI 12/07/2024
มุมมอง 39หลายเดือนก่อน
ARABIC KHUTBAH: SYD ZAIN BADAWI | MASJID AL JUMAA,KITUMBINI 12/07/2024
SHARTI YA KUSWIHI SWALA YA JAMAA | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
มุมมอง 41หลายเดือนก่อน
SHARTI YA KUSWIHI SWALA YA JAMAA | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
SHARTI YA KUSWIHI JAMAA IKIWA NDANI YA MSIKITI | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
มุมมอง 129หลายเดือนก่อน
SHARTI YA KUSWIHI JAMAA IKIWA NDANI YA MSIKITI | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
SHARTI YA JAMAA } JAMAA IKISWALIWA NJE YA MSIKITI INASWIHI | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
มุมมอง 160หลายเดือนก่อน
SHARTI YA JAMAA } JAMAA IKISWALIWA NJE YA MSIKITI INASWIHI | UST, KHATIB OMARY | AL MASJID KITUMBINI
😂😂😂😂
mashallah
❤
❤❤❤❤❤
Sasa nimeelewa mwanzo ilikuw maongez ni mengi
Maalum
Au hakuna Dua maalim au adhkar maalim
Shekhe mie nataka mfumo mzima wa hio sala unatia Nia vipi na unasali vip Dua zake ni zipo au adhkar
Mashallaah swali zuri. Na majibu sahihi.
Jazkallahu khaira wa baarakallahu khaira
jibu lishajibiwa nyie kueni na akili waislaam... kumuoa mkristo inajuzu
Haijuzu. Allah amekataza kuoa au kuolewa na washirikina Quran 2:221
ماساالله جزاك الله خيرة
Maelezo ya dhaahir kabisa.
Maashaalah jazaakalaah ustadh
Punguzeni ujahili huyu mtu ni mwanachuoni.
Shekh tumbo
Je Muislam anaruhusiwa kumuoa Mkristo..?....Jibu swali
Swali
Hawezi wasikubabaisheni. Aya ipo wazi ya kukataza kuoa/kuolewa na washirikina Qur-an 2:221
Na hata Al Maida inasema miongoni mwa w’ke wema waliopewa vitabu. Ssa wakiristo/washirikina wana wema upi? Na kila mmoja anajua km mkiristo makaazi yake motoni hana hesabu
Masha allah kwa mafunzoo yakoo
Shekh jibu swali
Mashaallah mwanangu 😊
Shukraan ustaadh khatib jazakallahu lkheir
Umezunguka bure kwa kifupi ni haram
Swali rimemushinda kujimbu
Huezi kuoa wala kuolewa mshirikina mpaka aamini Qur-an 2:221. Na pia Al Maida aya 5 inasema kuoa w’ke wema miongoni mwa waliopewa vitabu na sio wote.
Aya ya kuoa mayahudi na manaswara ndani ya Qur-an ni kwa sbbu iliposhuka Qur-an, walikuepo watu wa Nabii Issa, Nabii Daud na Nabii Mussa a.s na miongoni mwao walikuepo ambao hawakua washirikina walikua wakiabudu Allah pekee na wengine walikua washirikina. Waliokua wakiamini Allah pekee bila ya kumshirikisha ndio walioruhusiwa kuoa na kuolewa nao lkn washirikina hawa wanaosema Yesu Mungu nk hawakuruhusiwa kuoa wala kuolewa nao mpaka waamini Qur-an 2:221 na Al Maida aya 5
haifai kwa sheria ya dini ya kislamu ni haramu
Asnt
MaashaaAllah
Hapo unazungumzia mambo ya dini bila elimu.....
Naomba kuuliza, kama mtu ana mke na watoto wakiwa wote ni wakristo halafu mume aka amuwa kuslim, lkn mke wake hataki kuslim je huyu mtu anatakiwa afanye nn ili awe mkamilifu katika dini maana inasemekana mke wako kama si muislam bado hujakamilika samahani naomba mnisaidie katika hilo.
KARIBU, SHEIKH ATAKUJIBU MUDA SI MREFU, ENDELEA KUTUFUATILIA
Mke umlinganie kama akikataa umuache na nawatoto kama hawajabalehe ni waislamu kama wamebalehe uwalinganie pia
Jazakallahu khairah maulana khatwiib
جزاك الله خيرا
Wakristo na mayahudi ndo ahlulkitaab. Wamejaa tele mitaani kwetu sijui kwa nini tunajipa kazi ya kuwatafuta watu wanaojulikana au tunajipa fikra ya kukataa uhalisia. Ahlulkitaab ni mayahudi na wakristo sasa watu tunakataa kwa kutumia akili. Hapo ndo utaona ujinga wa waislamu walio wengi. Ruhusa imetoka kwenye surat Maaidah aya ya 5.
Ahlulkitabu wenyewe ndiyo hawa wandengereko, wachaga, na wanyakyusa wanaofata maandiko ya yaliyochakachuliwa au vipi?! 😂😂😂 tambua waliokusudiwa sio hawa ni wale wa zamani waliofata taurati na injili ya kweli ambao tayari walishapambanukiwa bishara watakayoifata ya Mtume Muhammad (S) baada ya ujio wake kwao, ahlulkitab hawa wa sasa asili ya mafundisho yao imetoka kwa nani?! Yesu Mussa au Fikra za wazungu waliyoyachakata mafundisho sahihi ya ahlulkitab halisi?!... kaka usiwe mwepesi hivyo... tafakari!!
You are right. tuko sawa
Allah amekataza kuoa mshirikina mpaka aamini Quran 2:221. Soma suratul ikhlas vzr halafu ujiulize je wakiristo si miongoni mwa washirikina tuliokatazwa kuwaoa?
Aya inayohusiana na kuwaoa mayahudi na manaswara imekuja kwa sbbu kipindi inashuka Qur-an. Waliokuepo manaswara na mayahudi wa umma wa Nabii Issa a.s na Nabii Mussa a.s ambao walikua wakimuamini Allah pekee pasi na kumshirikisha na chchte na ndio waliokusudiwa kuwaoa kwa sbbu walikua wakikuamini Allah na Hawakua washirikina. Lkn wote walokua washirikina Allah amelataza kuwaoa mpaka waamini Qur-an 2:221
Na Allah amekataza kuoa na kuolewa na washirikina mpaka waamini Qur-an 2:221. Soma vzr hii halafu soma na suratul ikhlas kwa ufahamu zaidi
Mashaalah
Hujajibu suali Umeongea porojo tuuuuu
A.a shuqran
Jazakallahu khairah yaa shekh
Jazakallahu khairah yaa shekh
Masha Allah jazakallahu khairah
Masheikh kama hawa ndio hupotosha Ummah , maulaa nao ni binadamu hupatia na hukosea kwanza Sheikh Albaniy hajalazimisha Niqab ametia Ulaini kiasi cha kutoifanya ni wajibu huyo muuliza swali huwenda kalitunga au ni kweli lakini kasahau maana Albaniy rahimahu Allah hajalazimisha Niqab pamoja na hilo aliteleza tuangalie QUR'AN na mtume Tutaona Niqabu ni lazima Tuache ujanja ujanja hawa Walinganiaji wengine wanatamani kuona nyuso za wanaweka ndio maana wanasema niqabu sio lazima
Shekhe mmmmh
Majibu hayana dalili.....
Hiyo maik inabugdha haisikiki kwa ufasaha.
Hiyomaiki inabugdha hatusikii kwa ufasaha
Namuuliza huyu shk alipata wapi hio jawabu ...hekma ya swala za siri na jahiri.. Kutufu kando ya alkaba bega likiwa nje ..na kutembea kw haraka ile mizunguko mitatu ya mwanzo..tupe umenukuu wapi kitabu gani ? Mwanachuoni gani ?
Kuna mudharaba Na kuna murabaha Na Itstithnaa Bai Salam Murabaha bank hununua bidhaa sehemu husika Kwa makubaliano na Kwa mujibu wa mahitaji wa yule mteja, baada ya manunuzi wa Ile bidhaa bank huuza ila bidhaa Kwa yule mteja Kwa kiwango kikubwa na huyu mteja malipo ulipa Kwa awamu Kwa msingi huo bank hupata faida na module hii huitwa murabaha
Mashaallah
Sheikh maneno mengi hujabibu swali umepiga story tu. Hajapinga kama hawako.ila swali nihivi wakirisito wanafa kuwawowa?
Sijui kwanini inakuwa vigumu kwa mtu kukubali kwamba swali limemshinda
Hapa kwetu Kenya wengi ni washirikina hapo vipi?
@@isaachassan43 niharamu kumuwowa mushirikina ata kama amekufurahisha
Usihukumu mambo bila kufahamu kwa sheria.@@idrissamustafabukenya6110
Kwa evo hakuna sio
MashaAllah ❤
Mmmmmmmmmh 😢
Mashaallah ❤
Allah akuhifadhi shekhe wetu mpendwa