- 361
- 563 138
Hilmi Hilal 259
Canada
เข้าร่วมเมื่อ 11 ม.ค. 2020
A Zanzibari Activist
วีดีโอ
Muungano huu ni wa Mkataba, sio wa kikatiba
มุมมอง 1234 หลายเดือนก่อน
Muungano huu ni wa Mkataba, sio wa kikatiba
Dr. Nasra Nassor, daktari wa wana anga kutoka Zanzibar akiongea na VOA Swahili
มุมมอง 415ปีที่แล้ว
Dr. Nasra Nassor, daktari wa wana anga kutoka Zanzibar akiongea na VOA Swahili
KHUTBA YA SALA YA EID JUMUIYA YA WAZANZIBARI CANADA (ZANCANA) - ABU UBAYDA ISLAMIC CENTRE 2023
มุมมอง 912ปีที่แล้ว
Khutba baada ya sala a Eid el Fitr iliyokhutubiwa na Ustaadh Abdul Aziz kattika msikiti wa Jumuiya ya Wazanzibari Canada, Abu Ubaydah Islamic Centre, Toronto, Canada, 1 Shawwal 1444H, 21 April 2023.
Wazanzibari wameumizwa kwa kupigwa na kuuliwa, Watanganyika wameumizwa kwa kulishwa ujinga - Hilal
มุมมอง 567ปีที่แล้ว
Wazanzibari wameumizwa kwa kupigwa na kuuliwa, Watanganyika wameumizwa kwa kulishwa ujinga - Hilal
Watanganyika changamkeni kudai Tanganyika yenu, Utanganyika sio matusi Mujahid Osman
มุมมอง 156ปีที่แล้ว
Watanganyika changamkeni kudai Tanganyika yenu, Utanganyika sio matusi Mujahid Osman
Faida ya muungano kwa Wazanzibari ni kuuliwa kila baada ya miaka mitano - Bob Wangwe #mariaspaces
มุมมอง 193ปีที่แล้ว
Faida ya muungano kwa Wazanzibari ni kuuliwa kila baada ya miaka mitano - Bob Wangwe #mariaspaces
Katiba na ugatuzi wa madaraka, haki na wajibu wa wanachi part 1
มุมมอง 52ปีที่แล้ว
Katiba na ugatuzi wa madaraka, haki na wajibu wa wanachi part 1
URAIA, DIASPORA NA HAKI YA UZAWA - PART TWO
มุมมอง 60ปีที่แล้ว
URAIA, DIASPORA NA HAKI YA UZAWA - PART TWO
JE WAJUA KATIBA YA UHURU YA TANGANYIKA ILIRUHUSU URAIA PACHA?
มุมมอง 162ปีที่แล้ว
JE WAJUA KATIBA YA UHURU YA TANGANYIKA ILIRUHUSU URAIA PACHA?
MTAZAMO WA KISHERIA KUHUSU KUPOTEA KWA JUMA WA JUMA
มุมมอง 696ปีที่แล้ว
MTAZAMO WA KISHERIA KUHUSU KUPOTEA KWA JUMA WA JUMA
Yuko wapi Juma wa Juma? Mwinyi na Samia wadai hawana taarifa
มุมมอง 3.3Kปีที่แล้ว
Yuko wapi Juma wa Juma? Mwinyi na Samia wadai hawana taarifa
Kupotea kwa Juma wa Juma - Mabodi na Nadir wahusishwa
มุมมอง 1.5Kปีที่แล้ว
Kupotea kwa Juma wa Juma - Mabodi na Nadir wahusishwa
UTAFITI WA LISSU - Utaratibu wa utatuzi wa migogoro ya uchaguzi
มุมมอง 55ปีที่แล้ว
UTAFITI WA LISSU - Utaratibu wa utatuzi wa migogoro ya uchaguzi
HOTUBA YA TUNDU LISSU KUHUSU KURUDI TANZANIA 2023
มุมมอง 409ปีที่แล้ว
HOTUBA YA TUNDU LISSU KUHUSU KURUDI TANZANIA 2023
MASWALI NA MAJIBU - Sheria ya Gharama za Uchaguzi
มุมมอง 18ปีที่แล้ว
MASWALI NA MAJIBU - Sheria ya Gharama za Uchaguzi
UTAFITI WA LISSU - Sheria ya Gharama za Uchaguzi
มุมมอง 30ปีที่แล้ว
UTAFITI WA LISSU - Sheria ya Gharama za Uchaguzi
MASWALI NA MAJIBU Siku ya Uchaguzi, Kupiga kura, kuhesabu kura na kutangaza matokeo
มุมมอง 43ปีที่แล้ว
MASWALI NA MAJIBU Siku ya Uchaguzi, Kupiga kura, kuhesabu kura na kutangaza matokeo
UTAFITI WA LISSU - Siku ya Uchaguzi, Kupiga kura, kuhesabu kura na kutangaza
มุมมอง 19ปีที่แล้ว
UTAFITI WA LISSU - Siku ya Uchaguzi, Kupiga kura, kuhesabu kura na kutangaza
MIAKA 59 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR TULIKOTOKA NA TWENDAKO
มุมมอง 162ปีที่แล้ว
MIAKA 59 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR TULIKOTOKA NA TWENDAKO
GUMZO LA GHASSANI - Rais Samia, maridhiano na mwanzo mpya
มุมมอง 134ปีที่แล้ว
GUMZO LA GHASSANI - Rais Samia, maridhiano na mwanzo mpya
MASWALI NA MAJIBU - UTAFITI WA LISSU - Maadili ya Uchaguzi ni Tishio la Uchaguzi huru na haki
มุมมอง 69ปีที่แล้ว
MASWALI NA MAJIBU - UTAFITI WA LISSU - Maadili ya Uchaguzi ni Tishio la Uchaguzi huru na haki
UTAFITI WA LISSU - Maadili ya Uchaguzi na Tishio la Uchaguzi huru na haki
มุมมอง 15ปีที่แล้ว
UTAFITI WA LISSU - Maadili ya Uchaguzi na Tishio la Uchaguzi huru na haki
MASWALI NA MAJIBU UTAFITI WA LISSU Utaratibu wa Kampeni za Uchaguzi na Matatizo Yake
มุมมอง 30ปีที่แล้ว
MASWALI NA MAJIBU UTAFITI WA LISSU Utaratibu wa Kampeni za Uchaguzi na Matatizo Yake
UTAFITI WA LISSU - Utaratibu wa Kampeni za Uchaguzi na matatizo yake
มุมมอง 41ปีที่แล้ว
UTAFITI WA LISSU - Utaratibu wa Kampeni za Uchaguzi na matatizo yake
MASWALI NA MAJIBU - Mfumo wa uandikishaji wapiga kura, haki ya kupiga kura na demokrasia nchini
มุมมอง 19ปีที่แล้ว
MASWALI NA MAJIBU - Mfumo wa uandikishaji wapiga kura, haki ya kupiga kura na demokrasia nchini
UTAFITI WA LISSU - Mfumo wa Uandikishaji Wapiga Kura Haki ya Kupiga Kura na demokrasia nchini
มุมมอง 5ปีที่แล้ว
UTAFITI WA LISSU - Mfumo wa Uandikishaji Wapiga Kura Haki ya Kupiga Kura na demokrasia nchini
Kwani walimuua huyu
Sisi wazanzibar hatuishi vizuri hatuna raha kwa jinamizi hili na nyinyi watangazaji muna uccm tuulizwe tulizwe tunahitaji nini lisu anajua siri nyingi kuliko wewe hukuepo wakati lisu anajua hayo wewe ulikua ukisoma tafadhali
Sio wazanzibari wenyetofauti wewe nddio mwenye tofauti na nafsi yakooo tafadhali sisi wazanzibari sote tunadai mamlaka kamili zanibar moja zanzibar mpya yenye mamlaka kamili pia sio kama hatuutaki bali unatunyonya na kutufanya colonial hatukuhitaji wewe mtangazaji
Mungu ampe pepo shujaa huyo... Alikemea uovu kwa mkono wake
😂😂😂 huy alifia kipig
Mzee huyo angeandika Kitabu, kwa ajili ya vizazi vijavyo
Marxism socialism communism brutal and dictatoship of Nyerere
Kunawatu wajinga aseee
Hemu asimame kiongozi mkuu wa nchiii hiii kisha atueleze kinaga ubaga hichi kilicho tokea hapa haswa kilikua nini na kinamaana gani na tafsiri yake ni nini kimsingi
Muongo mkubwa toka lini Zanzibar msikiti ukawa na nguvu kama Serikali askari anaingia mskitini na viatu na kupiga watu mbona kanisani haendi kuwapiga kanisani ni kweli Sheikh kanisa lina nguvu kuliko Serikali
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun. Kijana aliteleza kama binaadam kumpiga baba yake kibao amefanya kosa kumpiga baba yake. Baba wa mwenzio ni baba Yako. Ahsanteni kwa ushirikiano.
Zanzibar I've independent hatutaki kitu. Hakuna kariba wala tiba.
So sad
Hii ndo tofaut ya uislm na dini nyingne Yaani ktk uislm ukileta ujinga hatukuachi salama
Jembe hili
Wazanzibar wanachukiana wao kwa wao kuliko hata wanavyotichukia Tanganyika. Wakipta nafasi ya kujitawala basi damu itamwagika sana Zanzbar na inaweza isiwe nchi inayotawalika kwa miaka mingi sana
Allah akurehemu nakukumbuka kwa ulivyokua mkweli
The sultans never did this.
Ndio adabu yenu wazanzibari amkeni msiwe wapofu
Kumbe huu muungano ni shida ilianzia toka kwa karume mwenyew duuu
Innallilah wainna ilaih rajiun hawa wanaouliwa ni waislamu wenzetu duuh
Waislam wanakufa syria lebanon na Gaza
Huyu mzee ni msenge sasa kama waarabu watarudi si shauri yenu pambaneni na hali zenu vinganganizi Kuna siri kubwa kama hujuw na unajw si hilo tuuh
Probably one of the finest presentation on constitution from the brightest & smartest minds in Tanzania. Salute Senior Councel Lissu
ebo mtu anataka matako akojowe wewe unamwambia subiri kwanza tulale mpaka asubuhi hiyo karume ndio faida ya usaliti ulilisaliti Taifa la Zanzibar kwa tamaa zako binafsi mtwana wewe lakini iko siku Taifa letu litainuka ( one day our nation will rise up)
Tunajua hakuwa Nyerere peke yake na haya mambo msiyanyamazie na yaandikwe
Wanzanzibar leo et mnasherekea siku ya mapinduz hamjui kuwa siku hiyo zilipotea roh za watu tena waislam wenzetu ndio walouliwa mujuwe t mukisherekea bc munasherekea damu za watu namutawalip zoho zao sk ya sik
Muungano,kwa,wazanzibar,unafaidakubwa,kwasabu,watu,wanauliwa
Kweli kabisa baba miungano huu ni wa kidhalimu Mama samia atatue shida za muungano huu
Watanganyika hatuutaki muungano, wazanzibari nawo hawauutaki muungano.wanaotaka muungano ni ccm . Sisi watanganyika tushikamane tutoe ccm madalakani.na nyie wazanzibari mtoeni ccm madalakani ili tuondoe muungano
Kafuata Nyayo Wolfgang Dourado, Mwanasheria Mkuu wa Rais Abeid Karume🙏👍
Allah akurehem mzee irunga
Mm naona ikiwa samia suluhu hassan ni mzalendo na mzaliwa wa Zanzibar atavunja muungano kama mzalendo wa kweli
Lissu apa anasema uongo ... hakuna aliesema katiba isuburiwe mpaka 2025 isipokua CCM ... Lussu kapoteza credibility kwa hili
Inna lillah wainna ilayhi 😭😭😭😭
Eeeh mola wetu yaonee mapenz yetu juu ya mja wako tunakuomba umuondolee adhabu ya kaburin na umpe daraja ulipendalo uko mbinguni
✌️👍👊.
Allahum ghufillahu wathabithu
Huyo yahaya nimzee mjinga nahajui uwamuzi wamtu zanzibar 1
Astaffirullah wewe ni mjinga sana wewe km si maalim ungepewa ubunge
Lakini hii dunia kuna minjemba ya ajabu sana
Emu pia angalia kwa vyema kabisa apo lissu anapo pinda kwenda ndani kuna bango la kijani lina onesha alama ya mtu alie vaa maski sii tena ameandika "Take care"
Anafataaslah tu
Mnafiki huyo
Wewe unachuki na lissu ama vp emu angalia vizuri ni wazungu gani wana mshangaa na hali ya kua hao wazungu wamevaa iyo maski pia jamani mbona ivi
Muongo
Hivi walinzi.wake walikuwa wapi ni wa kufukuza kazi
✌️👍👊.
Jazaka LAAH khaira Mohammed Said na historia ya Uislamu na Tanganyika , ALLAH akupe kila la kheri na baraka
Ilikuwaje akampiga kibao
✌️👍👊.