Bazo tv Online
Bazo tv Online
  • 1 172
  • 958 138

วีดีโอ

SIMANZI NA VILIO DODOMA MTOTO NA MAMA AKE WABAKWA NA KUUWAWA KINYAMA. #azamnews #ajali #moto #news
มุมมอง 2534 ชั่วโมงที่ผ่านมา
SIMANZI NA VILIO DODOMA MTOTO NA MAMA AKE WABAKWA NA KUUWAWA KINYAMA. #azamnews #ajali #moto #news
WAFANYA BIASHARA SINGIDA WAFUNGA BARABARA, RC DENDEGO AWATAKA KUWA WAPOLE WAFIKE OFISINI #azamnews
มุมมอง 2284 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Wafanya Biashara Mkoani Singida wamefunga Barabara kuu ya Singida mwanza kwa takribani dakika 45. Wakiishinikiza Serikali kutoa mfumo wa stakabadhi Ghalani kwenye mazao ya mbaazi ufuta na Dengu, ili wauze kwenye soko la kawaida kuepuka urasimu wa mfumo huo wa stakabadhi. Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Singida Bi. Halima Dendego baada ya kufuatwa na Waanddishi wa Habari ili kujua majibu ya kili...
MTOTO MDOGO ATUPIWA KISIMANI DODOMA AFARIKI, JESHI LA ZIMA MOTO LALAANI UKATILI HUO #ajali #moto
มุมมอง 19212 ชั่วโมงที่ผ่านมา
kubaki na Mishangao na Hofu kwa kile walichodai kuwa ni matukio ya Watoto kuwawa na kutupwa Majalalami, Vyooni na Kwenye Visima vya maji, Akiongea kwenye tukio la Mtoto aliyekadiriwa kuwa na Umri wa zaidi ya Mwaka mmoja kutupwa Kisimani na kupoteza uhai wake, Mwenyekiti wa Mtaa wa Muungano Kata ya Nkuhungu Jijini Dodoma Ndugu Nelson Mpolo amesema baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia mwema al...
God's Blessings Studio 🎙️#azamnews #bbc #cnn #müzik #music #musicvideo #learningmusic #createmusic
มุมมอง 821 วันที่ผ่านมา
God's Blessings Studio 🎙️#azamnews #bbc #cnn #müzik #music #musicvideo #learningmusic #createmusic
MAAMUZI YA CLUB YA YANGA KESI YA VIONGOZI WAKE: MWANASHERIA
มุมมอง 367หลายเดือนก่อน
Club ya YANGA yatoa Ufafanuzi kuhuu KESI ya viongozi wanao daiwa kutakiwa kuondoka madarakani.
MTATURU AMRARUA TUNDU LISU, TUKUTANE 2025 ACHA KUPOTOSHA #ikulu #official #azamnews #bbc #cnn #tbc
มุมมอง 1.6K2 หลายเดือนก่อน
Wananchi wametakiwa kutobabaika na Porojo za Wanasiasa wachache ambao wameendelea kupotosha jamii ili kutoshiriki shughuli zao za Maendeleo Kwa kile kilichodaiwa ni viongozi wa vyama vya upinzani kuwahamasisha Vijana kutoshiriki vyema katika kujenga familia zao na kudanganywa Serikali itafanya kila kitu, hayo yamesemwa na Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe Miraji Mtaturu, Wakati akisalimi...
SINGIDA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUWALETEA FEDHA ZA MIRADI: #kaziiendelee #ikulu #bungelatanzania
มุมมอง 644 หลายเดือนก่อน
Wananchi Mkoani Singida wamesherekea miaka 60 ya Muungano kwa Kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuupatia mkoa wa Singida fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo imeleta mabadiliko makubwa katika Sekta mbalimbali za Kijamii.
WANAOTAKA KUVURUGA AMANI SINGIDA KUKIONA CHA MOTO: RC DENDEGO #ikulutanzania #singida
มุมมอง 1054 หลายเดือนก่อน
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego ameonya kuwa atawachukulia hatua kali watu wanaotaka kuvuruga au kuvunja amani kwa Wananchi wa Mkoa huo. Ametoa kauli hiyo (leo 23/Apr/2024 ) mjini Singida, katika uzinduzi wa wiki ya maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya Soko Kuu la Singida. Mkuu huyo wa mkoa wa Singida amewasisiti...
RC DENDEGO APIGA MARUFUKU UNYWAJI POMBE MUDA WA KAZI. #kaziiendelee #ikulu #samiasuluhuhassan
มุมมอง 1404 หลายเดือนก่อน
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego, amepiga marufuku Wananchi wa Mkoa huo kuanza kunywa pombe wakati wa kazi (asubuhi) na kuwataka kutumia muda huo kufanya shughuli za maendeleo ili kuweza kujikwamua kiuchumi na kujenga uchumi wa Taifa kwa ujumla. Dendego, ametoa kauli hiyo leo (19 Aprili, 2024) katika Kijiji cha Kashangu, Halmashauri ya Itigi kwenye ziara yake ya kikazi ya Siku Mbili ...
RAS SINGIDA AWAAGIZA WATENDAJI WA SERIKALI MKOANI HUMO KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI #kaziiendelee
มุมมอง 504 หลายเดือนก่อน
Katibu Tawala Mkoa wa Ssingida Dkt. Fatuma Mganga, amewataka Watendaji wa Halmashauri na Kata kusimamia vizuri ujenzi wa miradi ya maendeleo hasa umaliziaji wa majengo mbalimbali ili kudhibiti vitendo vya wizi wa vifaa vya ujenzi. Dkt Fatuma, ameyasema hayo leo (19 Aprili, 2024) katika Kijiji cha Kashangu, Halmashauri ya Itigi kwenye ziara ya kikazi ya Siku Mbili ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhes...
MTATURU AIBANA SERIKALI UJENZI WA BARABARA. #ikulu #bungelatanzania #bbcnews #bazotvonline #tbc
มุมมอง 724 หลายเดือนก่อน
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe Miraji Mtaturu mapema leo Bungeni, Ameitaka Serikali kujenga Barabara ya Ikungi - Mang'onyi hadi Londoni Kwa kiwango Cha lami Barabara itakayoenda kuunganisha Miundombinu ya Barabara za Kilimatinde Manyoni.
MTATURU AMPONGEZA RC HALIMA DENDEGO #bungelatanzania #ikulu #kaziiendelee #singidabigstars
มุมมอง 734 หลายเดือนก่อน
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe Miraji Mtaturu, Amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima DENDEGO kwa kuendelea kuwaunganisha watumishi wa Serikali na kusimamia Miradi ya Maendeleo mkoani humo.
MTATURU AGONGEA MSUMARI BAJETI TAMISEMI, SERIKALI IMEFANYA KAZI KILA MTAA, KIJIJI NA VITONGOJI
มุมมอง 604 หลายเดือนก่อน
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Mhe Miraji Mtaturu ameipongeza na kuishukuru Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanya maendeleo makubwa katika Jimbo la Singida Mashariki na katika nchi nzima akijielekeza zaidi katika Wizara ya Tamisemi. Ameyasema hayo wakati akichangia Bajeti ya TAMISEMI Bungeni Dodoma.
WAZIRI KIKWETE ATOA MAJIBU YA SERIKALI BUNGENI DODOMA
มุมมอง 194 หลายเดือนก่อน
Waziri Kikwete akijibu swali la Nyongeza lililoulizwa na Mh. Rehema Mgwila (MB) aliyetaka kufahamu ni kwa hatua gani serikali itaongeza fedha zinazopokelewa na wanufaika huku tukiangalia hali ya uchumi na pia inafanya nini kwa wale wanaoachwa katika zoezi la Utambuzi. Nimemuhakikishia Mbunge na Wananchi kuwa Serikali yao itaendelea kujadili na kujipanga ili kuhakikisha matamanio yote yanafikiwa...
Mtaturu alia na Ujenzi wa Madaraja Singida Mashariki, Serikali yatoa Majibu Bungeni. #ikulu #azamtv
มุมมอง 935 หลายเดือนก่อน
Mtaturu alia na Ujenzi wa Madaraja Singida Mashariki, Serikali yatoa Majibu Bungeni. #ikulu #azamtv
Ratiba kamili ya Mazishi ya Rais Mstaafu Hayati Ali Hassan Mwinyi hii hapa: Kassim MAJALIWA #ikulu
มุมมอง 76 หลายเดือนก่อน
Ratiba kamili ya Mazishi ya Rais Mstaafu Hayati Ali Hassan Mwinyi hii hapa: Kassim MAJALIWA #ikulu
BWAWA LA NYERERE TAYARI KUFUA UMEME: Mha. Dismas Mbote
มุมมอง 2896 หลายเดือนก่อน
BWAWA LA NYERERE TAYARI KUFUA UMEME: Mha. Dismas Mbote
Mwili wa Hayati Edward Lowasa ukitolewa Lugalo kwenda Nyumbani kwake
มุมมอง 4056 หลายเดือนก่อน
Mwili wa Hayati Edward Lowasa ukitolewa Lugalo kwenda Nyumbani kwake
Kula Agano na Mungu kwanza: Pastor Frank Muro BUAG CHURCH DODOMA
มุมมอง 399 หลายเดือนก่อน
Kula Agano na Mungu kwanza: Pastor Frank Muro BUAG CHURCH DODOMA
G Sounds Record Tanzania #gospeltanzania #audiorecording #dodoma #dodomajijifc
มุมมอง 309 หลายเดือนก่อน
G Sounds Record Tanzania #gospeltanzania #audiorecording #dodoma #dodomajijifc
Anajibu Maombi by Joel Bwenge coming Soon. Prod Bazil. G Sounds Record Tanzania
มุมมอง 1189 หลายเดือนก่อน
Anajibu Maombi by Joel Bwenge coming Soon. Prod Bazil. G Sounds Record Tanzania
Mungu Anajibu #ComingSoon by Joel Bwenge #gospeltanzania @gsoundsrecord #gsoundsrecordtanzania
มุมมอง 1269 หลายเดือนก่อน
Mungu Anajibu #ComingSoon by Joel Bwenge #gospeltanzania @gsoundsrecord #gsoundsrecordtanzania
Audio Recording Studio Dodoma fika ufanyiwe kazi ya uhakika #jeshilapolisi #gospeltanzania #jwtz
มุมมอง 3311 หลายเดือนก่อน
Audio Recording Studio Dodoma fika ufanyiwe kazi ya uhakika #jeshilapolisi #gospeltanzania #jwtz
MADHARA YA KUTOKUJUA: Pastor Amos Shango. 0765851188
มุมมอง 3811 หลายเดือนก่อน
MADHARA YA KUTOKUJUA: Pastor Amos Shango. 0765851188
Raha ya Muziki wa Injili live
มุมมอง 13411 หลายเดือนก่อน
Raha ya Muziki wa Injili live
Je unaijua DIVAI? Bishop Zephania @nurukwaulimwengu #zephathepreacher
มุมมอง 4111 หลายเดือนก่อน
Je unaijua DIVAI? Bishop Zephania @nurukwaulimwengu #zephathepreacher
JE WAJUA MUZIKI? Fika G Sounds Record Studio Ukutane na Mtaalam wa Muziki wa Injili.
มุมมอง 2811 หลายเดือนก่อน
JE WAJUA MUZIKI? Fika G Sounds Record Studio Ukutane na Mtaalam wa Muziki wa Injili.
Prince na G Sounds Record Studio 🎙️🎼 DODOMA Tanzania
มุมมอง 8611 หลายเดือนก่อน
Prince na G Sounds Record Studio 🎙️🎼 DODOMA Tanzania
DP WORLD KUWA MUAROBAINI WA RUSHWA BANDARINI: MTATURU #dpworld #bungelatanzania #ikulumawasiliano
มุมมอง 154ปีที่แล้ว
DP WORLD KUWA MUAROBAINI WA RUSHWA BANDARINI: MTATURU #dpworld #bungelatanzania #ikulumawasiliano

ความคิดเห็น

  • @hassanrobert9583
    @hassanrobert9583 8 วันที่ผ่านมา

    Sitaionea haya injili ya bwana,

  • @user-jt7pp4fg7r
    @user-jt7pp4fg7r 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂 Cjawah kuona wazee wa singida wakicheza nyimbo za asili

  • @PeterZacharia-p8p
    @PeterZacharia-p8p 18 วันที่ผ่านมา

    Kaza mwendo

  • @omanruwi5501
    @omanruwi5501 21 วันที่ผ่านมา

    Eti niyuka kumuganga 😂😂😂🎉🎉

  • @iradukundaannick-m8e
    @iradukundaannick-m8e หลายเดือนก่อน

    ❤❤nilikupenda magu pumuzika kwa amani

  • @omaliliute202
    @omaliliute202 หลายเดือนก่อน

    Kaz nzur

  • @ericmbago3216
    @ericmbago3216 หลายเดือนก่อน

    Walipenda watu tujitume

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน

    Hapo ulienda kutaja majina ya wakuu mbalimbali ? Nani hajui ubora na UDHAIFU wao ? Unaleta hadithi kwa kipofu gani ?nilifikiri ana uwezo kumbe 0%!!!

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน

    Kwa mtazamo hotuba hii ni hafifu sana !! Haina mvuto ni kelele zaidi haina POINTI zaidi ya mashambilizi .UOGA wa nini?

  • @nyandajr
    @nyandajr หลายเดือนก่อน

    Baba niliumia huyu mbaya zaidi walikua sambamba na jpm 😢😢 walikua wanapambania sana sisi watu wa chini sema 😢😢😢

  • @sologojr6877
    @sologojr6877 หลายเดือนก่อน

    *#4YearsDown**💔☹️* Big BEN🇹🇿 24.07.2020🕊️

  • @user-vs3xy6ht1k
    @user-vs3xy6ht1k 2 หลายเดือนก่อน

    🤝🤝👏👏👏🙌

  • @annaombay9417
    @annaombay9417 2 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @SweartbertOttaru
    @SweartbertOttaru 2 หลายเดือนก่อน

    Mars

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 หลายเดือนก่อน

    Wew zeruzeru la fisiyemu acha majigambo umesomba watu lisu anawafuata walipo jalamba kata. Kwa kata

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 หลายเดือนก่อน

    Umewakusanya kwa maroli lisu anapiga kata kwa kata

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 2 หลายเดือนก่อน

    Huwezi pambana na lisu bhn

  • @user-jg2dy4kb6j
    @user-jg2dy4kb6j 2 หลายเดือนก่อน

    mtaturu huo ubunge umepewa ww mwenyewe unajua na mungu anajua lissu anachukua nchi si ubunge

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio watoto wapo marekani vp usaidiweje ww

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 2 หลายเดือนก่อน

    Lisu hana kitu hata kama anajua kuogea amefanya nn miaka yote hiyo muweza mnasema ukweli jaman hata msipomchagua mtaturuu kumbukeni amewatoa kwenye giza Kuna mwanga upo uliko mtaturuu mm nilikuwa nakujaga na miguu leo magari yanapita hamuonili hilo mlipoteshwa na lisu semeni ukweli

    • @mgungulem3187
      @mgungulem3187 2 หลายเดือนก่อน

      Anajua kuongea ninii??? Unamfariji huyo mtaturu and wako, sasahivi hamyapata kitu mafisiemu

    • @emmanuelsulle911
      @emmanuelsulle911 2 หลายเดือนก่อน

      Maviiiiiiiiiiii Mwanzo Mwisho unachokiongea ni Pumba Lissu ni Mwamba Tanzania hii,Achana na huyo poyoyo Hana hoja, na wewe Akili iko Matakoni Hovyo Mno Kakojoe,

    • @muhsinikoki4060
      @muhsinikoki4060 2 หลายเดือนก่อน

      matako wewe

  • @bakariissa3440
    @bakariissa3440 2 หลายเดือนก่อน

    tundu lisu anafaa kuwa rais wa nchi hii kwa sababu ana tabia ya kuongea ukweli na kuwa muwazi

  • @niazonbukoke1964
    @niazonbukoke1964 2 หลายเดือนก่อน

    Tuwape paper la sheria mtaturu na Lissu

  • @ErastoHumbo
    @ErastoHumbo 2 หลายเดือนก่อน

    Bugeni hakuna wabunge wanaojali wananchi bali wanaojali mtumbo yao

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 2 หลายเดือนก่อน

    Mtaturuuu!!! Bila polisi hamna uwezo huo,

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 2 หลายเดือนก่อน

    Ubunge huna shenzi sana unaenda bungeni kustarehe unasaini mikataba ya ujinga

  • @LeonardSiame
    @LeonardSiame 2 หลายเดือนก่อน

    Utatoka tuu ubunge wako mwisho

  • @KhalfanJuma-ii4fk
    @KhalfanJuma-ii4fk 2 หลายเดือนก่อน

    Lissu akitinga hapo ma CCM mnazimia 2025 kusanyeni virago vyenu haraka.

  • @alexsakilu2650
    @alexsakilu2650 2 หลายเดือนก่อน

    Mtaturu unajua kabisa akigombea Tundu Lissu hutoboi

  • @GloryGasper
    @GloryGasper 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuinue na kukutunza

  • @user-hm4ee6id7s
    @user-hm4ee6id7s 3 หลายเดือนก่อน

    Greating to all bantu people in tanzania. Your distant cousin trom congo ❤

  • @jidammsumy1373
    @jidammsumy1373 3 หลายเดือนก่อน

    tutaonana tena#

  • @mariamjoseph5121
    @mariamjoseph5121 3 หลายเดือนก่อน

    Thanatia ughani à Mwurungu mwanañe

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 4 หลายเดือนก่อน

    Hallelujah 🙌

  • @AmosiAdolf-vk9ux
    @AmosiAdolf-vk9ux 4 หลายเดือนก่อน

    Ninakukumbuka kama mwazirishi was mashirika mengi ya umma kwa vitendo kama vile TASAFU TAKUKURU MKURABITA na kudumiaha diplomasia Africa na ushiruhishi wa inchi za maziwa makuu asante mkapa kwa kutambua uwepo wa magulif kumuamini katik serikal yak km naibu wazir wa ujenzi mwaka 1995 hongera mkp pumzika

  • @user-dj8jt5md2y
    @user-dj8jt5md2y 4 หลายเดือนก่อน

    Njijaaa

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana ndugu zangu wanyaturu

  • @user-ec3pi5sg1i
    @user-ec3pi5sg1i 5 หลายเดือนก่อน

    R.I.P

  • @JasminiMeshack
    @JasminiMeshack 5 หลายเดือนก่อน

    Wajefy mwanitruu nyembo njija

  • @JasminiMeshack
    @JasminiMeshack 5 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏

  • @user-fh6gt1sv8l
    @user-fh6gt1sv8l 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @estherabel-wy3sq
    @estherabel-wy3sq 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki mzid kuifanya kaziyake kwa moyo

  • @MarceMgonto
    @MarceMgonto 5 หลายเดือนก่อน

    Ooooh jamani baba nimekuona huku kwa mara ya kwanza

  • @sifunimbise2539
    @sifunimbise2539 5 หลายเดือนก่อน

    Dah le mi comment 😢😢😢😢😢

  • @believeclemence1077
    @believeclemence1077 6 หลายเดือนก่อน

    Yanaitwaje

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 6 หลายเดือนก่อน

    Tembo mwanintu haaaa❤

  • @VesitinaDanielilunde-bk2vz
    @VesitinaDanielilunde-bk2vz 7 หลายเดือนก่อน

    Anginya traghayi

  • @VesitinaDanielilunde-bk2vz
    @VesitinaDanielilunde-bk2vz 7 หลายเดือนก่อน

    Wanyaturu nawpenda sana

  • @angelikingu2192
    @angelikingu2192 7 หลายเดือนก่อน

    Ukhaya😍😍😍😍

  • @user-ry7yc7oq5c
    @user-ry7yc7oq5c 7 หลายเดือนก่อน

    Najivunia kuzaliwa singida