Ndalini Media Solution Limited
Ndalini Media Solution Limited
  • 518
  • 106 534
PROF. HOZEN MAYAYA AFURAHISHWA NA KAULIMBIU YA NANENANE 2024
Mkuu wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini, Prof. Hozen Mayaya, amefurahishwa na Kaulimbiu ya Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane 2024 yanayofanyika Jijini Dodoma katika Viwanja vya Nzuguni. Kaulimbiu ya mwaka huu ni Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini ni chuo kinachotoa kozi mbalimbali ikiwapo kozi ya uongozi, hivyo kaulimbiu hii inaeendana kabisa na falsafa ya chuo hiko.
มุมมอง: 89

วีดีโอ

PPPC - WAKULIMA NJOONI MJIPATIE FURSA ZA KILIMOPPPC - WAKULIMA NJOONI MJIPATIE FURSA ZA KILIMO
PPPC - WAKULIMA NJOONI MJIPATIE FURSA ZA KILIMO
มุมมอง 312 หลายเดือนก่อน
TUULINDE NA KUUTUNZA MUUNGANO WETUTUULINDE NA KUUTUNZA MUUNGANO WETU
TUULINDE NA KUUTUNZA MUUNGANO WETU
มุมมอง 662 หลายเดือนก่อน
Watanzania wametakiwa kuulinda Muungano wetu, kwani ndio Tunu ya Taifa kwa Kizazi chetu na Kizazi cha baadae.
TUMIENI NISHATI SAFI YA KUPIKIATUMIENI NISHATI SAFI YA KUPIKIA
TUMIENI NISHATI SAFI YA KUPIKIA
มุมมอง 532 หลายเดือนก่อน
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Hassan Saidy, amewataka watanzania kutumia Nishati Safi ya Kupikia na kuacha dhana potofu kuwa, chakula kinachopikwa kwa Kuni na Mkaa ni bora kuliko kinachopikwa kwa Gesi au Umeme.
PASS LEASING YAENDELEA KUTOA FURSA KWA WAKULIMAPASS LEASING YAENDELEA KUTOA FURSA KWA WAKULIMA
PASS LEASING YAENDELEA KUTOA FURSA KWA WAKULIMA
มุมมอง 682 หลายเดือนก่อน
Kampuni ya PASS Leasing Company Ltd, imeendelea kuwashika mkono Wakulima, kwa kuwakopesha Nyenzo mbalimbali za Kilimo hasahasa Matrekta. Ugawaji wa Nyenzo hizo umefanyika katika kilele cha wiki ya Maonesho ya Nanenane 2024, Kitaifa Jijini Dodoma.
TUNAJIVUNIA UCHUMI WA BULUUTUNAJIVUNIA UCHUMI WA BULUU
TUNAJIVUNIA UCHUMI WA BULUU
มุมมอง 892 หลายเดือนก่อน
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mheshimiwa Ashatu Kijaji (Mb), amedadavua ni kwa namna gani Tanzania inajivunia juhudi za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuhakikisha Nchi inakuwa kiuchumi hususani Uchumi wa Buluu.
WAKULIMA WAFURAHIA MBEGU ZA MAZAO YA BUSTANI EAST-WEST SEEDWAKULIMA WAFURAHIA MBEGU ZA MAZAO YA BUSTANI EAST-WEST SEED
WAKULIMA WAFURAHIA MBEGU ZA MAZAO YA BUSTANI EAST-WEST SEED
มุมมอง 1072 หลายเดือนก่อน
Wananchi wanaotembelea Maonesho ya Nanenane, katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, wamefurahishwa na Kampuni ya East-West Seed Tanzania, kwakuwaletea mbegu mkombozi za Mazao ya Bustani.
KARIBUNI MJIUNGE NA CHAMA CHA WATAFITIKARIBUNI MJIUNGE NA CHAMA CHA WATAFITI
KARIBUNI MJIUNGE NA CHAMA CHA WATAFITI
มุมมอง 562 หลายเดือนก่อน
Chama cha Watafiti Tanzania (ATARE) kimewataka Watafiti wote Nchini, kujiunga na chama hiko ili kuboresha utendaji wao wa kitafiti. Hayo yamemwa leo na Rais wa Chama hicho Profesa Joseph Ndunguru, katika Kilele cha Maonesho ya Nanenane 2024, Viwanja vya Nzuguni Dodoma.
BOT - TUNA FURSA NYINGI ZA KILIMOBOT - TUNA FURSA NYINGI ZA KILIMO
BOT - TUNA FURSA NYINGI ZA KILIMO
มุมมอง 332 หลายเดือนก่อน
Benki Kuu ya Tanania (BOT) imewataka Wakulima Nchini, kuchangamkia fursa za mikopo ya Kilimo katika Taasisi mbalimbali za fedha ili kulima Kiteknolojia na Kisasa zaidi. Hayo yamejiri leo katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) 2024, katika Viwanja vya Nzuguni, Jijini Dodoma.
GCLA - TUNA MAABARA ZA KISASA ZA KUCHUNGUZA KEMIKALI ZA AINA ZOTEGCLA - TUNA MAABARA ZA KISASA ZA KUCHUNGUZA KEMIKALI ZA AINA ZOTE
GCLA - TUNA MAABARA ZA KISASA ZA KUCHUNGUZA KEMIKALI ZA AINA ZOTE
มุมมอง 122 หลายเดือนก่อน
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) , leo Tarehe 7/ 8/ 2024, katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) 2024, imetabanaisha yakwamba, wapo makini katika kudhibiti kemikali zinazoingia Nchini, kwani wana Maabara za kisasa za kufanya uchunguzi wa kina na kitaalam. Hayo yamesmwa na Dkt. Shimo Peter, Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Bidhaa na Mazingira.
GAVANA WA BOT ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE 2024 JIJINI DDOMAGAVANA WA BOT ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE 2024 JIJINI DDOMA
GAVANA WA BOT ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE 2024 JIJINI DDOMA
มุมมอง 252 หลายเดือนก่อน
Leo Tarehe 7/ 8/ 2024, Gavana wa Benki Kuuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba, ametembelea Maonesho ya Kilimo Tanzania (Nanenane) katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, huku akisema ni kwa namna gani Uchumi wa Tanzania ulivyo imara.
WAKAZI WA DODOMA WAZIDI KUMIMINIKA BANDA LA WIZARA YA FEDHA NANENANE 2023WAKAZI WA DODOMA WAZIDI KUMIMINIKA BANDA LA WIZARA YA FEDHA NANENANE 2023
WAKAZI WA DODOMA WAZIDI KUMIMINIKA BANDA LA WIZARA YA FEDHA NANENANE 2023
มุมมอง 942 หลายเดือนก่อน
Wakazi wa Jiji la Dodoma na maeneo ya jirani, wameendelea kutembelea Maonesho ya Nanenane hususani kwenye Banda la Wizara ya Fedha kwaajili ya kujipata Elimu ya Fedha pamoja na fursa zipatikanazo katika Kilimo. Maonesho haya yanafanyika Kitaifa Jijini Dodoma katika Viwanja vya Nzuguni.
WADAU WA WIZARA YA FEDHA WATOA ELIMU KWA UMMA NANENANE 2024WADAU WA WIZARA YA FEDHA WATOA ELIMU KWA UMMA NANENANE 2024
WADAU WA WIZARA YA FEDHA WATOA ELIMU KWA UMMA NANENANE 2024
มุมมอง 2022 หลายเดือนก่อน
Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha Nchini, zimetoa Elimu kwa Wakulima wanaotembelea Maonesho ya Kiliimo (Nnanenane) Kitaifa Jijini Dodoma 2024, katika Viwanja vya Nzuguni. Moja ya Elimu iliyotolewa kwa Wakulima ni fursa ya mikopo kwa Wakulima Nchini
TALIRI YAJA NA TEKNOLOJIA YA MIFUGOTALIRI YAJA NA TEKNOLOJIA YA MIFUGO
TALIRI YAJA NA TEKNOLOJIA YA MIFUGO
มุมมอง 2.2K2 หลายเดือนก่อน
Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) imekuja na Teknolojia ya Mifugo ili kuhakikisha Wafugaji Nchini, wanafuga Kisasa na kuongeza thamani ya Mifugo yao. Hayo yemesmwa leo Tarehe 6/ 7/ 2024 katika Wiki ya Maonesho ya Kilimo Nchini (Nanenane) yanayofanyika Kitaifa Katika Viwanja vya Nzuguni JIjini Dodoma.
PPRA YATOA ELIMU KWA UMMAPPRA YATOA ELIMU KWA UMMA
PPRA YATOA ELIMU KWA UMMA
มุมมอง 262 หลายเดือนก่อน
Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma PPRA, imeendelea kutoa Elimu kwa Wakazi wa Jiji la Dodoma Katika Maonesho ya Kilimo (Nanenane) 2024, yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Dodoma.

ความคิดเห็น

  • @KefaAjibu
    @KefaAjibu 10 วันที่ผ่านมา

    Video ya bilionea leizer 3:27

  • @SheyoZumba
    @SheyoZumba หลายเดือนก่อน

    Mbeya mpo wapi

  • @selemanisalimu8377
    @selemanisalimu8377 หลายเดือนก่อน

    Mm nimevutiwa na hayo majani yanayo zuiya wadudu waharibifu

  • @Adamu-p1o
    @Adamu-p1o หลายเดือนก่อน

    Nipo singida tanzania nitaipataje pia ni bei gan pia mashart yakoje

    • @Adamu-p1o
      @Adamu-p1o หลายเดือนก่อน

      Naomba mnijibu niweze jua maana nahitaj sana

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r 2 หลายเดือนก่อน

    Nawapata sana , lakin mbona cpea au vipul vya iyo powe tella hujaweka waz upatikanaji wake

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r 2 หลายเดือนก่อน

    Kwan power tella n bei gani

  • @nassoromarelbajouny4462
    @nassoromarelbajouny4462 2 หลายเดือนก่อน

    Hatuutaki Muungano Zanzibar, msilazimishe utamaduni wa Zanzibar ji tofauti sana na bara kila nchi iwe huru kivyake tuwe majirani wema km mlivyo na Kenya au Uganda itoshe hiyo tu

  • @nevermwambela3719
    @nevermwambela3719 2 หลายเดือนก่อน

    Viruga Biocide ndo mkombozi wa wakulima Tanzania

  • @AbdulhamiduHamisi
    @AbdulhamiduHamisi 2 หลายเดือนก่อน

    tanzanite how much

  • @LindaUrassa
    @LindaUrassa 3 หลายเดือนก่อน

    Mbali na 77 mnapatikana wap duka lenu????cos wengne tuko mbali hatuwez fika hko

  • @zakayomtweve893
    @zakayomtweve893 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji ila nipo mbali napataje

  • @salutarisliganga7314
    @salutarisliganga7314 3 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥..

  • @Lizzydiana
    @Lizzydiana 3 หลายเดือนก่อน

    👌🏾

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 3 หลายเดือนก่อน

    🤝

  • @MRKp-zk7xs
    @MRKp-zk7xs 3 หลายเดือนก่อน

    🤝

  • @Lizzydiana
    @Lizzydiana 3 หลายเดือนก่อน

    👌🏾

  • @aquilinemakoi2028
    @aquilinemakoi2028 3 หลายเดือนก่อน

    Mati ni pana

  • @MohammediAyubu
    @MohammediAyubu 3 หลายเดือนก่อน

    Je wanafunzi wapya wanaanz kijiung mwez w ngp

  • @Amani7160
    @Amani7160 4 หลายเดือนก่อน

    Napataje mkopo wa pawatila 16 hp naomba utatibu

  • @KassimSeifu
    @KassimSeifu 4 หลายเดือนก่อน

    Huwezi kusomea degree

  • @Waltergifty
    @Waltergifty 4 หลายเดือนก่อน

    Kama mtu hajafaulu mathematics

  • @Waltergifty
    @Waltergifty 4 หลายเดือนก่อน

    Ada shingapi

  • @Ahamadh-v1e
    @Ahamadh-v1e 5 หลายเดือนก่อน

    Mbn hamutaji bei zake munataja asilimia tu

  • @danieltelesphory
    @danieltelesphory 5 หลายเดือนก่อน

    Namba zenu please mbona hamtoi

  • @MsMollel-rw2tl
    @MsMollel-rw2tl 6 หลายเดือนก่อน

    SASA TUNAPATAJE HIYO ELIMU YA MIGOMBA?

  • @danielmwakatumaakimu1050
    @danielmwakatumaakimu1050 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba mamba ya cimu ya Whatsapp.

  • @epnyagawa
    @epnyagawa 7 หลายเดือนก่อน

    Je Njombe maeneo ya Makambako Migomba inastawi?

  • @evelinamwaikambo2506
    @evelinamwaikambo2506 8 หลายเดือนก่อน

    Tari hoyeeee,

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 8 หลายเดือนก่อน

    Namba mbon hazieleweki weka namba

  • @AthumaniMchenje
    @AthumaniMchenje 8 หลายเดือนก่อน

    Naitwa juma napatikana tabola naitaji pawatina

  • @AthumaniMchenje
    @AthumaniMchenje 8 หลายเดือนก่อน

    Nitaipaja pawatila Mimi Niko tabola

  • @Lizzydiana
    @Lizzydiana 8 หลายเดือนก่อน

    👍🏽👍🏽👍🏽

  • @ZabronGelald
    @ZabronGelald 8 หลายเดือนก่อน

  • @henrymwazembe4083
    @henrymwazembe4083 9 หลายเดือนก่อน

    Niko musoma mara, nahitaji Mkopo wa powertiler

  • @aureliamyovela2655
    @aureliamyovela2655 9 หลายเดือนก่อน

    Ada zake shingapi

  • @mek7236
    @mek7236 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuonana na mhe. Ilivin mugeta... jaji mfawidhi mahakama kituo jumuishi mirathi na ndoa temeke

  • @richardmagambo2357
    @richardmagambo2357 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Doctor Charles Mwamwaja kwa kuendeleza program ya uelimishaji juu ya elimu ya fedha kwa Watanzania. Watanzania wengi hatuna elimu hii. Tunaamini hadi kufikia 2025 tutakuwa tumeelimika. Tunahitaji kusikia zaidi na zaidi juu ya elimu hii kwani ni hakika ni " Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi" hongereni sana!

  • @joycehenry8783
    @joycehenry8783 11 หลายเดือนก่อน

    Hongereni Sana

  • @JacobErnest-vk7me
    @JacobErnest-vk7me 11 หลายเดือนก่อน

    Wapi hiii inapatikana

  • @FadhirMagembe
    @FadhirMagembe 11 หลายเดือนก่อน

    Nic

  • @UmmaryJermia
    @UmmaryJermia 11 หลายเดือนก่อน

    Je Kuna mashine ya kupima madini kwenye duala ukajua Kuna mzigo kiasi Gani naomba msaada

  • @elinathanblasius9041
    @elinathanblasius9041 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua namna ya kujiunga na chama hiki

  • @simoninmwangatwa5127
    @simoninmwangatwa5127 ปีที่แล้ว

    Kwa keshi na sh ngapi na kwa dar mpo wapi?

  • @josephkibiki8138
    @josephkibiki8138 ปีที่แล้ว

    Mbegu gan Ina stamili mkame images tofauti Na 306

  • @manyuhawilson4201
    @manyuhawilson4201 ปีที่แล้ว

    Safi thanaaa

  • @barakampelanyi2136
    @barakampelanyi2136 ปีที่แล้ว

    Je, unachanganya bolea kiasi ngani katika kalashimo la kupanda ndiz

  • @mwankemwaasege1313
    @mwankemwaasege1313 ปีที่แล้ว

    Udereva mnafundixha

  • @jacksonmashulano1348
    @jacksonmashulano1348 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Tume ya Mahakama kwa usimamizi wa Maadili! Hakika mmeweka mfano bora

  • @babumollel1006
    @babumollel1006 ปีที่แล้ว

    Naomba kuuliza kwa makampuni ya microfinance je kwasasa je bdo wanapata leseni kutoka viwanda na biashara?

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru 2 ปีที่แล้ว

    Miradi upande miti kutakuwa na jangwa