- 646
- 289 475
Yoram Changala
เข้าร่วมเมื่อ 2 ก.ย. 2021
Mithali 8:13
[13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
[13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Kikosi kazi cha injili dodoma tukiwa kwenye maombi
Kikosi kazi cha injili dodoma tukiwa kwenye maombi
มุมมอง: 2
วีดีโอ
Wachungaji wavuana nguo hadharani (Wewe unao uwezo wa kurudisha nyota) wewe mganga.?
มุมมอง 469 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Wachungaji wavuana nguo hadharani (Wewe unao uwezo wa kurudisha nyota) wewe mganga.?
Watu wagoma kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura hii imekaaje "Dalili ni mbaya hii kwa Tanzani
มุมมอง 919 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Watu wagoma kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura hii imekaaje "Dalili ni mbaya hii kwa Tanzani
Hawa wanahubiri injili au wanamfanyia mzaha Mungu.? ona walivyovaa na muonekano wao
มุมมอง 11วันที่ผ่านมา
Hawa wanahubiri injili au wanamfanyia mzaha Mungu.? ona walivyovaa na muonekano wao
Mtoto wa Mbarikiwa amvaa vikali Kamanda Muluro, Huyu Mafwele auawe kwa vinywa vya mashahidi wawili.!
มุมมอง 8วันที่ผ่านมา
Mtoto wa Mbarikiwa amvaa vikali Kamanda Muluro, Huyu Mafwele auawe kwa vinywa vya mashahidi wawili.!
Kumekucha Mbarikiwa amvaa Mtekaji mkuu Mafwele na RCO wa Mbeya Kantimbo
มุมมอง 2014 วันที่ผ่านมา
Kumekucha Mbarikiwa amvaa Mtekaji mkuu Mafwele na RCO wa Mbeya Kantimbo
Baada ya Mbarikiwa kutoka Mahakamani (Mtoto wake ajilipua hadharani ) msikilize
มุมมอง 1121 วันที่ผ่านมา
Baada ya Mbarikiwa kutoka Mahakamani (Mtoto wake ajilipua hadharani ) msikilize
Mch huyu alipuka vikali "Kama hamtaki maswala ya Demkrasia basi msionee watu" Amjibu Poul Makonda
มุมมอง 1728 วันที่ผ่านมา
Mch huyu alipuka vikali "Kama hamtaki maswala ya Demkrasia basi msionee watu" Amjibu Poul Makonda
Mbarikiwa aimba wimbo wa kuonesha masikitiko yake juu ya kukamatwa kwa Lissu Mbowe nk. kuzuiliwa....
มุมมอง 12หลายเดือนก่อน
Mbarikiwa aimba wimbo wa kuonesha masikitiko yake juu ya kukamatwa kwa Lissu Mbowe nk. kuzuiliwa....
Tungepata viongozi wa dini wanaopiga kelele kama Mbarikiwa nchi ya Tanzania tungekua salama sana
มุมมอง 18หลายเดือนก่อน
Tungepata viongozi wa dini wanaopiga kelele kama Mbarikiwa nchi ya Tanzania tungekua salama sana
Ikisipotumika busara ila ukatumika ubabe huu Tanzania patachafuka zaidi "Maandamano ya Dar"
มุมมอง 26หลายเดือนก่อน
Ikisipotumika busara ila ukatumika ubabe huu Tanzania patachafuka zaidi "Maandamano ya Dar"
Yoram Changala akiwa Mbeya kwa Mzee wake Mbarikiwa Mwakipesile
มุมมอง 21หลายเดือนก่อน
Yoram Changala akiwa Mbeya kwa Mzee wake Mbarikiwa Mwakipesile
Kimeumana Mbarikiwa awavaa vikari machawa wa Mama "Ninyi siyo watu ninyi na Mashetani"
มุมมอง 10หลายเดือนก่อน
Kimeumana Mbarikiwa awavaa vikari machawa wa Mama "Ninyi siyo watu ninyi na Mashetani"
Mbarikiwa amvaa Mwalimu, kwanini wewe haukemei dhuruma na mauaji kama Abiudi na Rolinga.?
มุมมอง 19หลายเดือนก่อน
Mbarikiwa amvaa Mwalimu, kwanini wewe haukemei dhuruma na mauaji kama Abiudi na Rolinga.?
Safari ya kwenda mbeya hatua kwa hatua, Mpaka kambi kuu by Yoram Changala
มุมมอง 4หลายเดือนก่อน
Safari ya kwenda mbeya hatua kwa hatua, Mpaka kambi kuu by Yoram Changala
Hawa wanajiteka wenyewe kutafuta kiki za uchaguzi wa 2025.? je hili siyo pigo kwa Taifa zima.?
มุมมอง 21หลายเดือนก่อน
Hawa wanajiteka wenyewe kutafuta kiki za uchaguzi wa 2025.? je hili siyo pigo kwa Taifa zima.?
Mbarikiwa aagiza washirika wake kuja ibadani na ungo wa kichawi
มุมมอง 14หลายเดือนก่อน
Mbarikiwa aagiza washirika wake kuja ibadani na ungo wa kichawi
Mbarikiwa aomba maombi mazito kwa wanaojihusisha na utekaji, "Wapasuke matumbo yao kwa jina la Yesu"
มุมมอง 33หลายเดือนก่อน
Mbarikiwa aomba maombi mazito kwa wanaojihusisha na utekaji, "Wapasuke matumbo yao kwa jina la Yesu"
Mzee wa Upako atema nyongo kwa Bunge na Serikari acheni kuteka watu na kuua, huku mkesema hamjui
มุมมอง 25หลายเดือนก่อน
Mzee wa Upako atema nyongo kwa Bunge na Serikari acheni kuteka watu na kuua, huku mkesema hamjui
Ikiwa Viongozi wa makanisa ni wazinzi washirika watashindaje dhambi.?
มุมมอง 28หลายเดือนก่อน
Ikiwa Viongozi wa makanisa ni wazinzi washirika watashindaje dhambi.?
Kiboko ya wachawi asema tanzania ni marofa sana msikilize hapa
มุมมอง 19หลายเดือนก่อน
Kiboko ya wachawi asema tanzania ni marofa sana msikilize hapa
Kimenuka Mbarikiwa akinukisha tena Msikilize hapa Magufuli kwanini alikaa kimya.?
มุมมอง 22หลายเดือนก่อน
Kimenuka Mbarikiwa akinukisha tena Msikilize hapa Magufuli kwanini alikaa kimya.?
Kauli ngumu zaidi na za kutisha za CCM zimezidi kuwa gumzo wasikilize hapa
มุมมอง 410หลายเดือนก่อน
Kauli ngumu zaidi na za kutisha za CCM zimezidi kuwa gumzo wasikilize hapa
Hema la kikosi kazi cha injili Dodoma laboreshwa zaidi tena kuna wakawaka 🔥🔥🔥🔥
มุมมอง 29หลายเดือนก่อน
Hema la kikosi kazi cha injili Dodoma laboreshwa zaidi tena kuna wakawaka 🔥🔥🔥🔥
Jamaa baada ya kutapeliwa na manabii hawa aanza kumtukana Mungu hadharani msikilize hapa, Part 1
มุมมอง 12หลายเดือนก่อน
Jamaa baada ya kutapeliwa na manabii hawa aanza kumtukana Mungu hadharani msikilize hapa, Part 1
Mbarikiwa amlalua vibaya Mwamposa "Acha kutumika vibaya kupotosha watu"
มุมมอง 282 หลายเดือนก่อน
Mbarikiwa amlalua vibaya Mwamposa "Acha kutumika vibaya kupotosha watu"
Waziri wa mambo ya ndani na Waziri wa ulinzi tunataka mtueleze...
มุมมอง 132 หลายเดือนก่อน
Waziri wa mambo ya ndani na Waziri wa ulinzi tunataka mtueleze...
Taharuki Nawaonya Jeshi la Polisi Tanzania "Ukombozi wa Mungu ukitokea na ninyi mtaumizwa...
มุมมอง 542 หลายเดือนก่อน
Taharuki Nawaonya Jeshi la Polisi Tanzania "Ukombozi wa Mungu ukitokea na ninyi mtaumizwa...
Makonda arudi kazini tena ofisi ya Arusha
มุมมอง 332 หลายเดือนก่อน
Makonda arudi kazini tena ofisi ya Arusha
CCM mtasababisha Machafuko makubwa kabla ya 2025
มุมมอง 122 หลายเดือนก่อน
CCM mtasababisha Machafuko makubwa kabla ya 2025
unacho sema ni kweli maanake wenye wakataa sheria ya ndiyo wamekasirika na wewe wambiye kabisa Mungu akupe maisha marefu Kwa kusimama na ukweli
Upumbavuu mtupu,na giza tupu na huyu anayejiita nabii ni wakala wa nani? kama siyo wakala wa shetani,huo ni uwakala wa shetani pumbavuuu.
Huyu ni mhuni
Dini zanini jamani mbona hazina faida yoyote
Viongozi wa Tz wangetafuta kuwasikiliza watu wa Mungu hii nchi isingefika huku,
Siku zote ukiwa mkweli ndo unaonekana mbaya ila ulichozungumzia ndo kilichopta uko
Hubiri, acha matusi
@@josephifanda5626 Kuhubiri ni nini.?
Kwan faza ulishindwa kukaa kimya. We pambana na unachokiamin sio kuataki mtu. Kila mtu anafata njia yake faza
@@عمرانالحجري Kwani wewe hauatak watu.? Mbona unaniambia nipambane na yakwangu kwanini wewe haujapambana na yakwako ila umeniatak.?
Yesu tu Yesu tu
Tanzania uko wakwanza kwa injiri wewe ukomwenda mbingu kabisa
Wekijana haujui unachofanya muache mwaposa aende wewe utaaibika siyo mda mlefu
Kwa lipi.?
Napenda hizo Misha hiri niwe nazo kama hiyo niukweli
@@Charitémapendo-c3j Ni kweli soma Waebrania_11:32-40 na Ufunuo_6:9-11
Mhhh
Ubarikiwe sana baba yangu kwa moyo huo,bado najifunza sana kwa moyo huo.Hapa hakuna kurudi nyuma ni kuendelea kupambana mpaka mwisho,alimadam tumeshaingia vitani tayari,Amen
Amenena ukweli
Amen amen babaangu
AMIINA AMIINA SIFA NA UTUKUFU NI KWA MUNGU PEKEE
Ubarikiwe sana baba yangu,hongera kwa kufika salama, Safari bado ni ndefu sana,hivyo tunahitaji kukusanya nguvu za kutosha kwenye ibada.MITHALI 8:14
Wewe mbarikiwa umefurahi liboko alivufukusuwa ulisema anachukua hela za watu je mbona wengi wanachua milo moja na nusu hauseme
Nani anaweza kuupigigateke mchokoo
𝘼𝙢𝙚𝙚𝙣𝙞 ⛪
UKWELI KABISA SHETANI ANADANGANYA WATU LAKINI MWISHO WAKE WATALIA USIOGOPE MTUMISHI MAANA MUNGU YUKO PAMOJA NAWE.UNA HEKIMA YA KUTOSHA
Wazungu walitudanganya sana
Ameeni ameen baba, barikiwa sana
Roho ya chuki
Itikadi kali😂
Kijana anaroho mbaya sana,
Hawavijana wameshaharibiwa, tena hawa ni vijana hatari sana, serikali iwaanglie kwa jicho la pili, hajui hata kufafanua bibilia masikini ya Mungu,
Mnaojua tatizo lenu mmekaa kimya mnajua kukoment kwa wasijua 🙄🙄
Kiukweli webaba sikupendi wewe yaani kila mtumishi wekwako hana mungu. Haya basi mbona wewe unawatukana watu? Malauwaite waimbaji malaya nikweli unatafuta ugali. Lakini fanya yako yawatu hutayaweza
@@Mgayapaulina Kwani we unapendwa na watu wote.? Sembuse Yesu aliwalisha na mikate lakini bado mlimuua.!
Nyie mtawapiga wajinga kamanyie mnatapeli watu
@@SokratesStallin Kwahiyo we umepata simu leo umeona uanze kukoment kwetu.? Embu tufuatilie clip zote uone kama sisi ni matapeli kama manabii wenu wahuni, wanaowadanganya
@@Yoram_Changala kwani hii yutubu niyakwako nyie mnadanganya watu wasiona upeo waakili napia hakuna mungu
Kuandika kwako tu kunadhihirisha na uwezo wa akili yako ikoje.!
@@Yoram_Changala kumanina zenu
Ndomana nilisema wewe ni limbukeni, wa simu,
Duh
Nyie si ndugu zake na Shetani.
Kame kaa kiroho
Ww bangi hazijaisha Mungu akusaidie
Wewe ambaye zimetoka umefanya nini cha maana.?
YANI WEWE UKIENDELEA HIVYO UTAKUWA SANA HAPA DUNIANI MUNGU AKUTUMIE USAIDIE WATU WATOKE KWA DHAMBI KWELI INABARIKI ITIA UCHUNGU KWA SABABU NI KWELI KABISA.NDIO WANAKUFUTA MUNGU AKUTUMIE KABISA MAANA WACHUNGAJI WOTE WAMESHAANGUKA HAKUNA HATA MMOJA ANASEMA UKWELI,ASANTE SANA AMEN.
Wenye macho tunaona na wenye akili yakireason tunareason
Neno linasema. Siku za mwisho kutakua na manabii wengi wa uongo. Pia wahubiri wa kweli waenende Katika Sheria na ushuhuda ikiwa hawasemi sawasawa na neno la Mungu kwao hakuna asubuhi
Joe Davie, mimi ni mdhambi sana sana sana. Lakini, umelaaniwa wewe katika wanaume wote! Mshenzi mpuuzi mwizi tapeli mkuu wewe.
Amen
Mwakasege ni mtumishi mzur kila mtu anamjua usipambane nae utaonekana huna hekima
Mubarikiwe sana sana na MUNGU muumba mbingu na nchi, kwa hapo ni sehemu ya hatu za Ushindi.
@@ugalidona-cs2yn We ndugu uko wapi.?
Wewe mbarikiwa huna jipya iyo ni dalili ya kushindwa huduma yako
Wewe boya sana ,kasome acha ujinga,
Barikikiwa mtumishi
Ni kweli 😢
Ni kweli 😢
Kweli 😢
Kweli 😢
Kweli
Kwel kabisa