abuu all maan lushoto mlalo
abuu all maan lushoto mlalo
  • 394
  • 241 871

วีดีโอ

KITABU| ARBAUUNA HADITHI | MAJLIS | 05|
มุมมอง 229 ชั่วโมงที่ผ่านมา
KITABU| ARBAUUNA HADITHI | MAJLIS | 05|
KITABU | ARBAUUNA HADITHI |MAJLISI |04|
มุมมอง 2812 ชั่วโมงที่ผ่านมา
KITABU | ARBAUUNA HADITHI |MAJLISI |04|
KITABU ARBAUUNA HADITHI |MAJLISI |03|
มุมมอง 2114 ชั่วโมงที่ผ่านมา
KITABU ARBAUUNA HADITHI |MAJLISI |03|
KITABU ARBAUUNA HADITHI |MAJLISI|02|
มุมมอง 4216 ชั่วโมงที่ผ่านมา
KITABU ARBAUUNA HADITHI |MAJLISI|02|
KITABU |ARBAUUNA HADITHI | MAJLISI |01|
มุมมอง 3519 ชั่วโมงที่ผ่านมา
KITABU |ARBAUUNA HADITHI | MAJLISI |01|
WATU WA KAADIRIA| MSAADA WAO NI SHEKH UWESO AHMAD
มุมมอง 18วันที่ผ่านมา
WATU WA KAADIRIA| MSAADA WAO NI SHEKH UWESO AHMAD
KITABU |DURUUS RAMADHANI |MAJLISI |08|
มุมมอง 1321 วันที่ผ่านมา
KITABU |DURUUS RAMADHANI |MAJLISI |08|
KITABU |DURUUS RAMADHANI |MAJLISI |07|
มุมมอง 1321 วันที่ผ่านมา
KITABU |DURUUS RAMADHANI |MAJLISI |07|
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 06 |
มุมมอง 3628 วันที่ผ่านมา
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 06 |
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 05 |
มุมมอง 3028 วันที่ผ่านมา
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 05 |
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 04 |
มุมมอง 24หลายเดือนก่อน
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 04 |
KITABU |DURUUS RAMADHANI |MAJLISI |03|
มุมมอง 50หลายเดือนก่อน
KITABU |DURUUS RAMADHANI |MAJLISI |03|
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 02 |
มุมมอง 19หลายเดือนก่อน
KITABU | DURUUS RAMADHANI | MAJLISI | 02 |
KITABU| DURUUS RAMADHANI | MAJLISI |01|
มุมมอง 50หลายเดือนก่อน
KITABU| DURUUS RAMADHANI | MAJLISI |01|
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |78|
มุมมอง 36หลายเดือนก่อน
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |78|
KITABU| UMDATUL AHKAAM | MAJLISI |77|
มุมมอง 64หลายเดือนก่อน
KITABU| UMDATUL AHKAAM | MAJLISI |77|
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |76|
มุมมอง 36หลายเดือนก่อน
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |76|
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |75|
มุมมอง 28หลายเดือนก่อน
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |75|
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |74|
มุมมอง 23หลายเดือนก่อน
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |74|
KITABU | UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |73|
มุมมอง 28หลายเดือนก่อน
KITABU | UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |73|
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |72|
มุมมอง 35หลายเดือนก่อน
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |72|
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |71|
มุมมอง 25หลายเดือนก่อน
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |71|
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |70|
มุมมอง 34หลายเดือนก่อน
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |70|
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |69|
มุมมอง 56หลายเดือนก่อน
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |69|
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |68|
มุมมอง 64หลายเดือนก่อน
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |68|
KITABU | UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |67|
มุมมอง 16หลายเดือนก่อน
KITABU | UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |67|
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |66|
มุมมอง 44หลายเดือนก่อน
KITABU|UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |66|
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |65|
มุมมอง 40หลายเดือนก่อน
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |65|
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |64|
มุมมอง 27หลายเดือนก่อน
KITABU |UMDATUL AHKAAM |MAJLISI |64|

ความคิดเห็น

  • @AbdulRaheem-r3c6k
    @AbdulRaheem-r3c6k 3 วันที่ผ่านมา

    Maashallah shekhe namuomba allah akufanyie wepes katika maisha yako na akupe mwisho mwema ❤❤❤❤

  • @Abutwalhamwanyuki
    @Abutwalhamwanyuki 8 วันที่ผ่านมา

    Akhsantum

  • @abuutasniym2675
    @abuutasniym2675 9 วันที่ผ่านมา

    Baaraka Llaahu Fiykum Endeleeni kutuelimisha elimu yenye manufaa kwetu navizazi vyetu masheikh wetu isemeni haki ata kama wataichukia wenye kuchukia ila haki itabaki kua haki Watu washirikina sana nawengi hukariri maneno nakusherekea bila kuelewa kinacho semwa nahao watu wanao waita masheikh usishangae ata uyu muimbaji mwenyewe ikawa hajui anasema nini Allaah Atudumishe ktk njia yasawa nawao pia Allaah Awaongoze ktk haqqi Aamiyn Yaa Rabb

  • @AbuuJuhaifah
    @AbuuJuhaifah 13 วันที่ผ่านมา

    لعنة الله على الكاذبين Shekh msimam wake niule ule

  • @AbuuSaad-e3i
    @AbuuSaad-e3i 15 วันที่ผ่านมา

    حفظ الله شيخنا الفاضل قاسم مفوتا

  • @AbdillahHassan-f4x
    @AbdillahHassan-f4x 20 วันที่ผ่านมา

    الشيعة كفار ولا اشك في ذلك

  • @aboubakarmakha4194
    @aboubakarmakha4194 24 วันที่ผ่านมา

    NA KWAKUWA KAISHA KIPATA ALICHOKUWA ANA KITAFUTA NA NDO MAANA VINGI KAT ALIVYOKUWA ANAVIPINGA ANAVIFANYA ANA TAASIS YA KUPELEKA WATU HIJA NA TANGAZO LAKE LA KWANZA LA TAASIS YAKE HIYO ALILIPELEKA RADIO IMAAN RADIO AMBAYO ALITUKANA NA KUIKEJELI SANA

  • @aboubakarmakha4194
    @aboubakarmakha4194 24 วันที่ผ่านมา

    WENGI WETU TUKO KIUSHABIK TU YAAN BENDERA FUATA UPEPO KAMA WEW MUADILIFU KWELI WAKATI MAFUTA ANAANZA KUFANYA DAAWA YAKE HIYO NI VITU VINGAP ALIVIPINGA? WATU WALIACHA MASHULE NA VYUO WATU WALIONDISHA NA KUVUNJA MATV MAJUMBANI MWAO KUTOKA UFAHAM MBOVU ALIOWALISHA WALE WALIOKUWA WAJINGA WASIYOJITAMBUA NA HII YOTE N KATIKA KUTAFUTA UKUBWA TU NA UMAARUFU

  • @nassormohamedmwarizo4433
    @nassormohamedmwarizo4433 24 วันที่ผ่านมา

    Hili ni suala la uelewa, kulichokatazwa ni kuchonga sanamu, kufinyanga sanamu na kuchora. Hii ya picha ya kivuli inatoa hali halisi ya kile kilichopigwa picha. Kama ambavyo mm naandika hapa, kitakachotokea ni hali halisi niloidhamiria labda litokee kosa la kiuandishi. Ila kwenye kuchonga au kufinyanga au kuchora hauwezi kuleta hali halisi hicho ni chako ndo utadaiwa roho yake, lakini picha ni halisi kama ambavyo sauti ikiwa haijafanyiwa editing tunajua sauti hii ya fulani, basi hata sauti kurekodi ni haramu mana pia sauti ni kiumbe kilichoumbwa na Allah, ama hamjui sauti ni kiumbe?

  • @maryamrashid7458
    @maryamrashid7458 หลายเดือนก่อน

    Hatupati faida yoyote kutofautiana katika dini yetu sote tunashuhudia kuwa hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Allah, na mtume Muhammad Swalla Allahu Alayhi Wa Sallam ndie mtume wa Allah. Muongozo wetu ni Qur'an na Sunna, Allah awahifadhi ma sheikh wanaolingania katika njia ya haki.

  • @HamzaNdeka-n3p
    @HamzaNdeka-n3p หลายเดือนก่อน

    Umekatakata hizo audio alafu si tabia nzuri

  • @MohammedMohammed-y8c
    @MohammedMohammed-y8c หลายเดือนก่อน

    Hii ni wazi kuwa watu wanatafuta likes na subscriptions. Hakuna jengine.

  • @MuhammadSabuni
    @MuhammadSabuni หลายเดือนก่อน

    Maasha Allah

  • @awadhmchaki6567
    @awadhmchaki6567 หลายเดือนก่อน

    Mm nasemaje! hatamumshushe VP Tayari ALLAH kesha mnyanyua tunaomba thabaat chuki zenu tu zitawaponza Yaarabi tuhifadhie Sheikh Wetu Mpe nguvu na UMRI wenye kheir na manufaa

  • @SalimuMaganji-ts1fn
    @SalimuMaganji-ts1fn หลายเดือนก่อน

    Allah akusamehe tu wew uloandika hayo maneno maana msimamo wa shekh ni ule ule wa zamani

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko หลายเดือนก่อน

    Baaraqllahu fyk akhy nakufatilia kutoka tabora,

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin หลายเดือนก่อน

    😂😂 hawa jamaa yani wachrkesha si walizipinga hawa

  • @AbdulaziziMwinyi
    @AbdulaziziMwinyi หลายเดือนก่อน

    Ww humjui sheikh muhammad bn sheikh suleiman huyo mwamad ayuob mwenyw ilkuwa hamuwez sheikh muhammad bn sheikh suleiman uijui tanga ww tafuta mtu akufundishe vizury

  • @shurayfuabdallah4791
    @shurayfuabdallah4791 หลายเดือนก่อน

    A alaykum shekh samahan mi npo musoma nafatilia darsa zako sana nlikua naomba utupatie darsa ya buluugh maraami maana hatuijui wengne nahatuna mwalim wakutufundsha pia allah akuzdishie kwahii elimu unayotupatia allah akupe afya naumri mrefu wenye manufaa

    • @abuuallmaanalmuusawy
      @abuuallmaanalmuusawy หลายเดือนก่อน

      @@shurayfuabdallah4791 aameen sote pamoja inshallah itakuja

  • @ramadhanihashimu7370
    @ramadhanihashimu7370 หลายเดือนก่อน

    Umemdhulumu shiekh

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 หลายเดือนก่อน

    Lazima mjue kwani ukiambiw madhehebu gani kwani ni uwongo au vibaya ndio ilivyo madhehebu ya salafi au ibadhi au shafi ni Sawa sasa wewe unae pinga Hakuna madhehebu ktk uislam ni kujidanganya kwa mfano sisi twafata shafi maana yake kiongozi wetu ktk Ile njia ya kuchukuwa dalili alipita hivi ndio twafata sasa kama wewe unafata gugo ndio mwalimu wako Sawa lakini utapotea kwa kuwa huyo gugo hajulikani lakini imamu shafi anajulikana ndio hivyo hivyo wewe unae Sema unafata salafi salafi ni yule imam wako alie chukua dalili ktk fatwa zake ndio maana ukamfata

  • @khalidabas252
    @khalidabas252 2 หลายเดือนก่อน

    Jazaka allah khayra

  • @Abuudaaniyahassalafiyyu656
    @Abuudaaniyahassalafiyyu656 2 หลายเดือนก่อน

    Uyo mtuu akuelewa sheikh watu angali namsimamo wake ule ule

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 2 หลายเดือนก่อน

    Tv ni kama simu za smartphone au zaidi ya hizo

  • @MwajabuAmour
    @MwajabuAmour 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu mwache

  • @mohamedihashim7420
    @mohamedihashim7420 2 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo Tatizo nn hapo?

  • @NassifSuleiman
    @NassifSuleiman 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa ndio nn, watu wengine hawana kazi ya kufanya au nyie ndio wale mnaotengeneza mabango kwa uongo ili mpate viewers, mcheni Allah

  • @HassanMkwepu-qc2xu
    @HassanMkwepu-qc2xu 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona akihalalisha au kuharamisha? Muogope mola wako kwani wewe utaulizwa

  • @ALLYMOHAMMED-ge2cs
    @ALLYMOHAMMED-ge2cs 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa mashia wasemavyo ni kua Omar alikwnda nyumbani kwa Ally na kundi la maswahaba hivyo basi kama ni kweli ilipaswa khabiri hii kua ni Mutawaatir

  • @ALLYMOHAMMED-ge2cs
    @ALLYMOHAMMED-ge2cs 3 หลายเดือนก่อน

    Kosa la jalala na mashia wengine nikua waichukulia kama ni kweli na ni sahihi

  • @Jabir-v7j
    @Jabir-v7j 3 หลายเดือนก่อน

    Hakika madhehebu zote za kissun ni batri hebu tafteni hakhi achana na matusi wapumbavu nyie

  • @Jabir-v7j
    @Jabir-v7j 3 หลายเดือนก่อน

    Yaan nyia massun mko nyuma sana ya wakati endeleeni kushikilia hizo fikira zenu za kishetan mtakuja kushtuka muda umeshawaacha,hapo ndo mtasaga meno

  • @ManswabuRajabu
    @ManswabuRajabu 3 หลายเดือนก่อน

    Kafir maana yake nimtu aliye kanusha Jambo . Mfano usizin ukazin. Ww hapo utaitwa kafir.maana yake mkanushaj

  • @AbdulRama-u7d
    @AbdulRama-u7d 3 หลายเดือนก่อน

    Jazakallaahu khayran

  • @RajabuBakari-uq3jf
    @RajabuBakari-uq3jf 3 หลายเดือนก่อน

    Shekhe tunaomba hizo darasa mziweke kwenye mtandao zote ili sisi ambalo tupo mbali tuambulie ambulie

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 3 หลายเดือนก่อน

    Yule khalifa ni chizi jamaanii

  • @BaweweSalim
    @BaweweSalim 3 หลายเดือนก่อน

    Asalaam alaikum warahmatullah, mbona sheik kuna sauti zinasikika imekuaje na video zako hazikuwa hivi, hizi sound huwa zinaumiza akili na kupunguza umakinifu wa kuskiliza hoja. Allah akuhifadh,

  • @MohamedMgwami-nw6bl
    @MohamedMgwami-nw6bl 3 หลายเดือนก่อน

    Na ikiwa ni maneno ya ibn baaz utafanyaje?,

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 3 หลายเดือนก่อน

      Ninyi si mmezoea kuwazuilia maulamaa kama mtume mmemzusshia sembuse ulamaa ni jambo jepesi sana hilo kwenu

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 3 หลายเดือนก่อน

    HII KAULI SIO SAHIHI KWA SABABU KUSEMA HIVYO KWA KIGEZO CHA HADITHI HIYO KUTAONESHA KUWA MASWAHABA HAWAKUWA WANAIZINGATIA HAT QURAN YENYEW NA HILO NI TUSI KWA MASWAHABA, NI AYA NGAPI KATIKA QURAN ZINAAMRISHA WATU KUMUABUDU ALLAH PASI NA KUMSHIRIKISHA? Na KUONESHA ADHABU ZA WASHIRIKINA CKU YA KIAMA VIPI WW USEME MASWAHABA WNGI WALIKUWA HAWAYAJUI MANENO HAYO KWAKUWA SWAHABA MMOJA ALIAMBIWA ASISEME MANENO YALE YA HADITHI MPKA WENGI KATIKA MASWAHABA WAFE WASIJUE HILO WAKT MASWAHABA WANATIHIBITISHA WALIKUWA HAWASOMI AYA MOJA YA QURAN MPAKA WAILEWE MAZINGATIO YAKE?

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 3 หลายเดือนก่อน

    Alaf ufafanuz wako pia haujitoshelez akiwaambia watu watazembea watazembea nn?? Bainisha pili unataka kutumabia kuwa mtume alifanya hiyana kwnye kufikisha mpka hilo akalificha asiruusu watu wajue? Tatu je kabla yakusemwa hdith hiyo maswahaba walikuwa hawajui kuwa Allah anataka aabudiwe wakt aya za quran ziko wazi zinaamrisha waja wamuabudu Allah pasi na kumshirikisha pia kuna aya za wazi zinathibitisha adhabu kali kwa washirikina katika qurani vip useme maswahaba walikuwa hawajui wakt quran imewka wazi hayo au unamaanisha maswahaba walikuwa na quran pia hawaijui au ebu jibu kielimu

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 3 หลายเดือนก่อน

    Hata kam maneno sio ya ibn baaz yeye baaz kayatia kwenye kitabu chake kuyarud au kuyaunga mkono?? Kam ni kuyaunga huo ndo msimamo wenu mawahabi iwe yanani au nan? Hatuzingatii hilo

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 3 หลายเดือนก่อน

      Kumuelwesha mtut wa bidah ni bora ifuge mbwa kwako utaamfundisha atakuelewa so ninyi watu wa bidah

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 3 หลายเดือนก่อน

      @@AbdulIssa-o7e jibu hoja za msingi usitake tukuelewe wakt unapindisha

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 3 หลายเดือนก่อน

      @@abubakarhussein2186 hoja za msingi zipi we mbona jahli hivoo kitabu kimefafanuliwa na shekh vzr ukiwa mupofu wa nafsi ni msiba kuliko mpofu wa macho pia ninyi ndo wale nabii issa alipowajia watu wake walimkanusha pamoja na kuwafanyia miujiza na kuwafafanulia yale walimuliza kuhusu Allah akawajibu wakaidi pia akawaambia macho mnayo lakini ni vipofu, masikio mnayo lakini hamsikiii ni viziwi unafanana na watu Hawa pia kama Allah kapiga chapa katika moyo wako huwezi ongoka na huwezi muongoza alompoteza allh ww omba mungu akupe wongofu kuwa kwako mwislamu tuu haitoshi wapita katika njia gani sabu hata mashia wadai uislamu pia haitoshi tuuh kusema mi mwislamu unapita katika mapito yepi unafata nani na itikadi yako unayofata ni sahihi inabidi ujiulze maswali hayo vinginevyo kuridhika tuuh aah mi hapa hapa bwana chunguza itikadi ulonayo maana sula la itikadi ndo ziliangamiza nyuma zilizopita

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 3 หลายเดือนก่อน

    Ni bora ufuge mbwa nyumbani kwako utamfundisha atakuelewa so watu wa bidaah ni warongo mno na wamezoe kuzusha zusha mambo tuuh, kama wameweza kumbandika mwemyezi mungu na mtume wake uongo, watashindwa kwa ulamaa wetu kuwabandika urongo ni jambo jepesi sana hilo kwao na hawana aibu kabisa sijui allah ndo kawatoa mshipa wa aibu juzi kasimama mtu akwambia usiku wa maulidi ni bora kuliko usiku wa lailatu lkadiri, lakini wanaongozwa na shekh wao jufri anasema kilemba chake kimetoka kwa mtume na mwwngine nae juzi anakwambia kuzuru kaburi la sharifu mammbruiy ni kama umezulu kaburi la mtume😂😂😂 hawa watu kutahadhari nao sana

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 3 หลายเดือนก่อน

    Shukrani shekh abuu all man kutubainishia urongo na propaganda za ahlu bidaa kuwa twani ulamaa wetu wa ahlsunnah

  • @UwesuJumanne
    @UwesuJumanne 3 หลายเดือนก่อน

    Ni khalifa Musa Issa Haji Allah amuongoze na sio khalifa khamisi....huyu yuko Arusha huko anapotoshs sana

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 3 หลายเดือนก่อน

    Allah amlaani kila anaemzulia mwanazuoni

  • @zahranlofymbarouk7407
    @zahranlofymbarouk7407 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa utakimbiaje na mtu mwenye elimu NDOGO mafala wakubwa

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 4 หลายเดือนก่อน

    Akili Huna wewe

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 4 หลายเดือนก่อน

    Ni wachache katika mashekh wa answari mlobaki na msimamo wa kuradi bidah na kuradi khurafi wote, ukiwemo ww shekh abuu all man na muhammadi bachu,, wale wengine kina kishki na kaka yake Abdul kadiri ni mtihani sanaaa ni watu wa kwenda na watu maslahi wanajinasibisha na sunnah lakini watu wao na vipenzi vyao wakubwa. Ni khurafi 😂😂😂. Sasa shkh Abdul lkkadri yule anakwambia maulid ikhitilafu anae taka kufanya afanye tuuh anatalbis nyingi sana dawa zake yeye utamkutaa na makhurafi wala haataahaddhariishi uzushi et aansema anaekwenda maulidini anaenda soma sira ya mtume alingani na mlevi kwakusudio lake mnywa pombe hatari zaidi kuliko mzushi, yani haieleweki heleweki talbis nyingi mara yupo na kina Othman maalimu arafu anajinasibisha na sunnah Sasa sunnah gani hiyo ya kufanya daawa. Na. Wazushi si watajiona wao wapo katika hakki na kuleta talbis kwa vijana wanaoanza kujuwa sunnah.

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh pigia misumari hapo hapo usiachie kuwafyatua masufi napenda sana Ma Shaa Allah

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 4 หลายเดือนก่อน

    Hawa masufi bhana wanataka kila kitu kifanane na maulid huu itakuwa ujinga miski ya roho ni muhadhara maulid ni bida'a