Kilimo Maarifa Tv
Kilimo Maarifa Tv
  • 11
  • 56 792

วีดีโอ

Pampu ya solar watts 250 na panel ya watts 320 piga 0620354579
มุมมอง 70711 หลายเดือนก่อน
Pampu ya solar watts 250 na panel ya watts 320 piga 0620354579
Kilimo cha umwagiliaji kwenye alizeti /Kilimo cha alizeti kumwagilia kwa kutumia sprinkler
มุมมอง 1.6Kปีที่แล้ว
Kilimo cha alizeti kumwagilia eka Mbili Kwa saa Kwa njia ya sprinkler kurusha maji kama mvua
Kilimo cha ndizi migomba kwa mfumo wa umwagiliaji wa matone yaani drip irrigation system ktk ndizi
มุมมอง 1.7Kปีที่แล้ว
kilimo cha umwagiliaji katika shamba la ndizi na migomba kwa mfumo wa drip irrigation system yaani umwagiliaji wa matone kwa maelezo zaidi piga 0620354579 au tuma message WhatsApp
Bomba la kupiga dawa shambani linalotumia solar na battery linapiga dawa automatic hutumii nguvu
มุมมอง 1Kปีที่แล้ว
Bomba la kupiga dawa shambani linalotumia solar na battery linapiga dawa automatic hutumii nguvu
Pampu za kuvuta maji kisimani na umwagiliaji kutoka kwenye kisima baada ya kuchimba kisima cha maji
มุมมอง 8Kปีที่แล้ว
pampu ya kuvuta maji kisimani inayotumia umeme, pampu ya umwagiliaji unayotakiwa kuwa nayo unapomaliza kuchimba kisima chako Hii ni pampu ya umeme ya kuvuta maji kisimani na kupandisha juu kwenye tank kama utahitaji pampu hii au pampu za solar zinazotumia umeme wa jua usisite kutupigia simu No. 0620354579 WhatsApp tunapatikana pia waweza tuma message. Pampu nzuri kwa kilimo cha umwagiliaji na k...
Kilimo cha vitunguu umwagiliaji kwa Pampu za maji za solar na drip irrigation matone solar pumps JUA
มุมมอง 10Kปีที่แล้ว
Kujua bei ya bidhaa gusa link hii tuchat Whatsapp 0620354579 au piga simu wa.me/message/SFOROD7BXTIBN1 Kujifunza mfumo wa umwagiliaji Kwa njia ya matone drip irrigation system gusa link hii th-cam.com/video/1s2a-_m3pJo/w-d-xo.html Umwagiliaji Kwa njia ya Sprinkler irrigation system gusa link hii hapa kuzitama th-cam.com/video/mme5zmQWtek/w-d-xo.html Uchimbaji wa visima vya maji water drilling g...
Umwagiliaji kwa njia ya sprinkler irrigation kilimo cha umwagiliaji
มุมมอง 11K2 ปีที่แล้ว
kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya sprinkler irrigation kwa ajili ya ukoka, garden na mashamba Katika video hii nimeonyesha jinsi ya kusakinisha mfumo wa umwagiliaji wa vinyunyizio kwenye bustani au shamba lako Ili mfumo wa umwagiliaji wa vinyunyizio ufanye kazi vizuri ni lazima maji yawe katika shinikizo la kutosha na kiwango cha mtiririko na hii inafanikiwa kwa kutumia pampu ya maji ikiwa maj...
Umwagiliaji kwa njia ya matone/drip irrigation, kilimo cha umwagiliaji.Kilimo cha migomba, ndizi
มุมมอง 9K2 ปีที่แล้ว
Mfumo wa umwagiliaji kwa njia ya matone drip irrigation system Kwa ajili ya shamba la mboga mboga matunda na miti ya matunda kama papai, parachichi, migomba, pasheni, maembe na kilimo cha mazao mengineyo mbalimbali Ukihitaji kufungiwa mfumo huu wa umwagiliaji tutafute kupitia namba 0620354579 au 0757420879 Kwa mawasiliano zaidi unaweza kupiga simu au kutuma ujumbe Whatsapp
wachimbaji wa visima vya maji, Tizama jinsi ya kuchimba kisima cha maji mwanzo hadi mwisho
มุมมอง 11K2 ปีที่แล้ว
jinsi uchimbaji wa kisima unavyofanyika namna ya kuchimba kisima kwa njia ya gari wachimbaji wa visima
Mashine ya kunyolea kuku / mashine za kunyonyoa kuku manyoya na kutotolesha vifaranga
มุมมอง 1.9K2 ปีที่แล้ว
Mashine ya kunyolea manyoya ya kuku, bata, zinapatikana piga 0620354579 au 0757420879 ujipatie mashine hizi

ความคิดเห็น

  • @jofreynossy3750
    @jofreynossy3750 19 วันที่ผ่านมา

    Mnachimbia Bei gani naitaji kaka

  • @robertalphan5533
    @robertalphan5533 หลายเดือนก่อน

    Habari, hapo fanya masahihisho siyo PVC pipe ni polypipe

  • @GingoHabibu
    @GingoHabibu 2 หลายเดือนก่อน

    Bei gani

  • @JamesWavi
    @JamesWavi 2 หลายเดือนก่อน

    Hi nibei gan

  • @JamesWavi
    @JamesWavi 2 หลายเดือนก่อน

    Hi nibei gan

  • @OmarSalim-kw2or
    @OmarSalim-kw2or 2 หลายเดือนก่อน

    Na kwa upande wa Zanzibar Pemba galama ni kiasigani

  • @OmarSalim-kw2or
    @OmarSalim-kw2or 2 หลายเดือนก่อน

    Nikiwa maeneo ya dodoma kondoa kuchimba kisima cha maji ya nyumbani Ni galama kiasigani

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 2 หลายเดือนก่อน

    Nauliza tena nahitaji mwezi wa 7 2024 nataka huduma ya maji mkon lindi bei tafadhali

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 2 หลายเดือนก่อน

      Piga 0620354579

  • @BupambaMedard-zr5ip
    @BupambaMedard-zr5ip 2 หลายเดือนก่อน

    Mnapatikana wap

  • @kelvinmgendwa1438
    @kelvinmgendwa1438 3 หลายเดือนก่อน

    H.p ngapi hiyo na ni bei gani

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 3 หลายเดือนก่อน

      Hp2 piga 0620354579

  • @FrankSalingo
    @FrankSalingo 3 หลายเดือนก่อน

    Kweye slop inawezekana??

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio piga 0620354579

  • @user-nt6ru8nb5t
    @user-nt6ru8nb5t 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji huduma

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 3 หลายเดือนก่อน

      Piga 0620354579

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 4 หลายเดือนก่อน

    Wapi zinapatikana

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 4 หลายเดือนก่อน

    Mesafe atiyor

  • @user-dm3it2iw3e
    @user-dm3it2iw3e 5 หลายเดือนก่อน

    HBR pump ya kupiga dawa sh ngapi hiyo ya mgongoni?

  • @ZefaniaCharles
    @ZefaniaCharles 5 หลายเดือนก่อน

    Inagharama yake shilingi ngapi

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 5 หลายเดือนก่อน

      Piga 0620354579

  • @user-tq5gj6dp3j
    @user-tq5gj6dp3j 6 หลายเดือนก่อน

    Hii ni bei gani

  • @user-tq5gj6dp3j
    @user-tq5gj6dp3j 6 หลายเดือนก่อน

    Hii ni bei gani

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 7 หลายเดือนก่อน

    Pampu ikiwa aipandishi maji shida nini

  • @temperaturegerald586
    @temperaturegerald586 7 หลายเดือนก่อน

    Bei gan?

  • @ChiefKione
    @ChiefKione 7 หลายเดือนก่อน

    Shingp

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr 7 หลายเดือนก่อน

    Mnapatikana wapi

  • @MAKANDAKALENGA11
    @MAKANDAKALENGA11 8 หลายเดือนก่อน

    Vp kwa nje ya inchi mnafuka hudumia?

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio

  • @laureanadolf4351
    @laureanadolf4351 8 หลายเดือนก่อน

    bei na zake tupate

  • @mukudisikuku7115
    @mukudisikuku7115 9 หลายเดือนก่อน

    Nipate wapi hii solar pump in kenya

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 9 หลายเดือนก่อน

      +255620354579

  • @fungilwatv2464
    @fungilwatv2464 10 หลายเดือนก่อน

    Shingapi solar water pumpu

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 9 หลายเดือนก่อน

      Piga 0620354579

  • @user-kb4tt1yi8y
    @user-kb4tt1yi8y 10 หลายเดือนก่อน

    Nimendakazi zenu

  • @user-ht3ti4yo7z
    @user-ht3ti4yo7z 11 หลายเดือนก่อน

    Bei tsh..

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 11 หลายเดือนก่อน

      650,000 piga 0620354579

  • @mkimbodominic3430
    @mkimbodominic3430 11 หลายเดือนก่อน

    Mnauza bei gn?

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 11 หลายเดือนก่อน

      Piga 0620354579 hii inauzwa 650,000

  • @yahayahassani7627
    @yahayahassani7627 ปีที่แล้ว

    bei gani?

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv ปีที่แล้ว

      Piga 0620354879 bei 650,000

  • @user-nd8gb2po3v
    @user-nd8gb2po3v ปีที่แล้ว

    zinapatkanawapi

  • @user-nd8gb2po3v
    @user-nd8gb2po3v ปีที่แล้ว

    zinapatilanawapi

  • @yusuphbezaleli7872
    @yusuphbezaleli7872 ปีที่แล้ว

    Bei gani mnauza

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 11 หลายเดือนก่อน

      Piga 0620354579

  • @AlexKing-yg2cc
    @AlexKing-yg2cc ปีที่แล้ว

    Hivi huwa mnafungua you tube channel kwa ajili gani iwapo hamjibu maswali mnayoulizwa?

  • @Gill__Gill
    @Gill__Gill ปีที่แล้ว

    🎉🎉🎉🎉

  • @Gill__Gill
    @Gill__Gill ปีที่แล้ว

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Gill__Gill
    @Gill__Gill ปีที่แล้ว

    Good vedeo 🎉🎉🎉🎉

  • @joaobalide5610
    @joaobalide5610 ปีที่แล้ว

    Pamp siz ya muicho(ndogo) munauza ngapi?

  • @emmanueltamnaay5781
    @emmanueltamnaay5781 ปีที่แล้ว

    Mnauza bei gani ?

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 ปีที่แล้ว

    Hizi shughuli bei ndio changamoto kwa wengi ndio maana huwa tunauliza tu nakusepa bei bei bei 😢😢

  • @ashaali6125
    @ashaali6125 ปีที่แล้ว

    Jamani VIP mtu km yupo Zanzibar

  • @mosesmfinanga3964
    @mosesmfinanga3964 ปีที่แล้ว

    Naomba mnipigie nahitaji kwaajili ya shambani

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 ปีที่แล้ว

    Inarusha maji umbali gani?

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv ปีที่แล้ว

      Mita 35 mbele na mita 35 nyuma

    • @nsajimwasege68
      @nsajimwasege68 ปีที่แล้ว

      @@Kilimota-Tv mnapatikana wapi duka lenu ndugu?

    • @Kilimota-Tv
      @Kilimota-Tv 11 หลายเดือนก่อน

      @@nsajimwasege68 piga 0620354579

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 ปีที่แล้ว

    Nzuri sana

  • @mrholela7906
    @mrholela7906 ปีที่แล้ว

    Bei gan inauzwa

  • @nsengiyumvadjumatatu1023
    @nsengiyumvadjumatatu1023 ปีที่แล้ว

    Ndugu hiyo ya kupulizia dawa ya solar ni bei gani? Asante

  • @mpeliakhim3770
    @mpeliakhim3770 ปีที่แล้ว

    Ok saf sana