- 67
- 47 193
UMMAT CHANNEL
เข้าร่วมเมื่อ 30 ต.ค. 2014
United Muslims for Mass Awareness (Tanzania)
1. MAFUNZO YA UISLAMU
2. QUR-ĀN KATIKA MAISHA YETU
1. MAFUNZO YA UISLAMU
2. QUR-ĀN KATIKA MAISHA YETU
KHUTBA - MAISHA BAADA YA RAMADHANI, Mwalimu Shaaban B. Omar
KHUTBA - MAISHA BAADA YA RAMADHANI, Mwalimu Shaaban B. Omar
มุมมอง: 245
วีดีโอ
DA'WA MASHULENI, BAGAMOYO HIGH SCHOOL, SEHEMU YA 1, Mwalimu Shaaban B. Omar
มุมมอง 471ปีที่แล้ว
DA'WA MASHULENI, BAGAMOYO HIGH SCHOOL, SEHEMU YA 1, Mwalimu Shaaban B. Omar
UKRISTO NA UISLAMU, IPI DINI SAHIHI? - 1. MAJIBU KWA MKRISTO
มุมมอง 9Kปีที่แล้ว
UKRISTO NA UISLAMU, IPI DINI SAHIHI? - 1. MAJIBU KWA MKRISTO
KHUTBA YA IJUMAA - MTAMBANI MASJID - FUNZO KUTOKA QATAR - Mwalimu Shaaban B. Omar
มุมมอง 376ปีที่แล้ว
KHUTBA YA IJUMAA - MTAMBANI MASJID - FUNZO KUTOKA QATAR - Mwalimu Shaaban B. Omar
USAC - ENGLISH PRACTICE SHEET - 01, Mwl. Shaaban B. Omar
มุมมอง 7Kปีที่แล้ว
Edited by VideoGuru:videoguru.page.link/Best
HALI YA UMMA - SEHEMU YA PILI - Mwl. Shaaban B. Omar
มุมมอง 635ปีที่แล้ว
HALI YA UMMA - SEHEMU YA PILI - Mwl. Shaaban B. Omar
HALI YA UMMA WETU - SEHEMU YA KWANZA, Mwalimu Shaaban B. Omar
มุมมอง 1.9Kปีที่แล้ว
HALI YA UMMA WETU - SEHEMU YA KWANZA, Mwalimu Shaaban B. Omar
TUMIA NEEMA YA TEKNILOJIA KUJIENDELEZA KITAALUMA. NITAFUTE WHATSAPP 0625 587 416.
มุมมอง 2682 ปีที่แล้ว
TUMIA NEEMA YA TEKNILOJIA KUJIENDELEZA KITAALUMA. NITAFUTE WHATSAPP 0625 587 416.
TUMEJIFUNZA NINI KWA MCHEZAJI HUYU?, KHUTBA, MWL. SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
มุมมอง 5262 ปีที่แล้ว
TUMEJIFUNZA NINI KWA MCHEZAJI HUYU?, KHUTBA, MWL. SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
UISLAMU NI NINI? - SIKILIZA -TUMA KWA WENGINE, Mwl. Shaaban B. Omar
มุมมอง 5522 ปีที่แล้ว
UISLAMU NI NINI? - SIKILIZA -TUMA KWA WENGINE, Mwl. Shaaban B. Omar
O-LEVEL REVISION SERIES - HISTORY - FORM I - IV - COVERAGE, Mwl. Shaaban B. Omar.
มุมมอง 3702 ปีที่แล้ว
O-LEVEL REVISION SERIES - HISTORY - FORM I - IV - COVERAGE, Mwl. Shaaban B. Omar.
DHULQARNAIN NA NEEMA YA CHUMA - Mwalimu Shaaban B. Omar.
มุมมอง 2182 ปีที่แล้ว
DHULQARNAIN NA NEEMA YA CHUMA - Mwalimu Shaaban B. Omar.
SPECIAL ENGLISH COURSE - READING; MAELEZO, Mwl. Shaaban B. Omar
มุมมอง 1.5K2 ปีที่แล้ว
SPECIAL ENGLISH COURSE - READING; MAELEZO, Mwl. Shaaban B. Omar
UISLAMU - DARASA MALUM - 2, Mwl. Shaaban B. Omar.
มุมมอง 4272 ปีที่แล้ว
UISLAMU - DARASA MALUM - 2, Mwl. Shaaban B. Omar.
UISLAMU - DARASA MAALUM - 1, Mwl. Shaaban B. Omar
มุมมอง 3722 ปีที่แล้ว
UISLAMU - DARASA MAALUM - 1, Mwl. Shaaban B. Omar
UISLAMU - DARASA MAALUM - UTANGULIZI. Mwl. Shaaban B. Omar (Abuu Haleema)
มุมมอง 2052 ปีที่แล้ว
UISLAMU - DARASA MAALUM - UTANGULIZI. Mwl. Shaaban B. Omar (Abuu Haleema)
SPECIAL ENGLISH COURSE - USAC - MAELEZO - 1
มุมมอง 2.8K2 ปีที่แล้ว
SPECIAL ENGLISH COURSE - USAC - MAELEZO - 1
KWA NINI UISLAMU UNAKUA KWA KASI DUNIANI - PART 2 - UST. SHAABAN B.OMAR.
มุมมอง 1.5K2 ปีที่แล้ว
KWA NINI UISLAMU UNAKUA KWA KASI DUNIANI - PART 2 - UST. SHAABAN B.OMAR.
KWA NINI UISLAMU UNAKUA KWA KASI DUNIANI? - PART 1 - UST. SHAABAN B. OMAR (ABU HALEEMA) - 17-06-'22
มุมมอง 1.3K2 ปีที่แล้ว
KWA NINI UISLAMU UNAKUA KWA KASI DUNIANI? - PART 1 - UST. SHAABAN B. OMAR (ABU HALEEMA) - 17-06-'22
DADA ALIYEGEUZWA NG'OMBE. UONGO MTUPU. Hii ni magic trick. Usiwe boya!
มุมมอง 2K2 ปีที่แล้ว
DADA ALIYEGEUZWA NG'OMBE. UONGO MTUPU. Hii ni magic trick. Usiwe boya!
KHUTBA YA IJUMAA - QUR-ĀN NA NEEMA YA NISHATI - MWALIMU SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
มุมมอง 1142 ปีที่แล้ว
KHUTBA YA IJUMAA - QUR-ĀN NA NEEMA YA NISHATI - MWALIMU SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
VITUKO MWEZI WA RAMADHANI - Mwalimu Shaaban B. Omar (Abuu Haleema)
มุมมอง 2572 ปีที่แล้ว
VITUKO MWEZI WA RAMADHANI - Mwalimu Shaaban B. Omar (Abuu Haleema)
DARSA ZA MWEZI WA RAMADHANI 2 - MWALIMU SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
มุมมอง 822 ปีที่แล้ว
DARSA ZA MWEZI WA RAMADHANI 2 - MWALIMU SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
DARSA ZA MWEZI WA RAMADHAN 1 - Mwl. Shaaban B. Omar (Abuu Haleema)
มุมมอง 622 ปีที่แล้ว
DARSA ZA MWEZI WA RAMADHAN 1 - Mwl. Shaaban B. Omar (Abuu Haleema)
DARSA YA RAMADHĀN - CLIP 1. Shaaban B. Omar (Abuu Halima)
มุมมอง 1022 ปีที่แล้ว
DARSA YA RAMADHĀN - CLIP 1. Shaaban B. Omar (Abuu Halima)
SYLABUS YA RAMADHANI KWENYE QUR-AN - MWL. SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
มุมมอง 682 ปีที่แล้ว
SYLABUS YA RAMADHANI KWENYE QUR-AN - MWL. SHAABAN B. OMAR (ABUU HALEEMA)
UNATAMANI MTOTO WAKO AWE NANI? - Ustadh Shaaban B. Omar
มุมมอง 7082 ปีที่แล้ว
UNATAMANI MTOTO WAKO AWE NANI? - Ustadh Shaaban B. Omar
MWANDAMO WA MWEZI RAMADHANI HAKUNA MZOZO - Abuu Haleema
มุมมอง 1312 ปีที่แล้ว
MWANDAMO WA MWEZI RAMADHANI HAKUNA MZOZO - Abuu Haleema
ISLAMU ni neno la kiarabu maana yake MATENDO MEMA. Na uislamu unaanzia tumboni mwa mama.
Mnabisha kuwa mwanzirishi sio Baba Ibrahim nikweli mwanzirishi ni Ibrahim aliepiga msingi ujao soma Kitabu cha Mwanzo 17:16-22 Mungu anaongea na Ibrahim kuwa atafanya agano la milele msingi wa ukristo ulianzia mbali sana Mungu anaongea na Ibrahim kuwa atafanya agano la milele kwa nyakati zijazo
Isaya ni muongo sana huyu pepo mbaya hajui kitu aache dhambi kwanza make anateswa na thiolojia fukara
Mimi ni mkristo natamani sana kuujua uwislamu natamani sana shekhe
Utapata faida kubwa sana
Nikweli kabisa ukristo ulikuwa haupo kipindi cha Ibrahim mwambie some biblia na asidanganye jamii mimi ni mkristo nimfwasi wa kristo mwanzilishi ukristo
Kweli MashaAllah moyo wako umeanza kufunguka kaka yangu yesu amekuja mbele ya ibrahim je hao waliokuja nyuma yake hawakumjua yesu walikua dini gani ?Jibu ni walikua waislamu inayomaanisha kujisalimisha kwa mwenyezi mungu
Ndugu zangu shetani anawatafuta,someni vitabu vya Roho ya unabii vinamfunua mpingA Kristo.hao wenzenu wanataka muache silaha ambazo YESU alizitumia kupata ushindi Kwa shetani.Manabii na mitume na YESU ni wahayudi.mtume Mohammed ni mwaraabu.myahudi na muarabu Wana uhasama.ndiyo maana hata bible wanaikataa Kwa sababu wayahudi wamehusika kuleta ujumbe wa Mungu.someni vitabu hivi vinamfunua YESU wa waislam dhidi ya YESU mwana WA Mungu: Matukio ya siku za mwisho Dhiki kuu inakuja Pambano kuu Ukisoma hivo vitabu shetani anabaki uchi
Ticha 🤝 nakuelewa sana Ubarikiwe sana Kwa darasa lakingeresa hongera san
We mwislam nitako kabisa we jin wa kiislam unaweza kutufundisha nini
Mdomo wako mchafu umejaa matusi kasome kwanza uctuletee matusi yako ya kichwani
Nataka kujiendeleza
Licha ya kua waumini wa imani ya kristo waliitwa wakristo antiocha, haikuwamwanzo wa imani ya waumini .
Huyu hajui kitu anaropokwa.amedandia lori kwa mbele.
Hivi Tangu lini Ubishani wa kiimani ukafikia mwafaka?
Upo vizur sana
Wote mmepotoka
Dini zote si mali ya mwafrika,dini tuwaachie wazungu na waarabu sisi tuombe matambiko
Wewe kama unaombea matambiko baki na imani yako usituletee.
Shebani👍
Naanza kujifunza kingereza
1
Unahitaji kujifunza kingereza
Mwalimu Isaya Yupo Sahihi Kuhusu Ukristo Kuwepo Tangu Nyakati Za Ibrahim Baba Wa Imani, Isitoshe Amejibu Kwa Uchache Kulingana Na Muda Aliopewa Kwenye Interview Redioni Tofauti Na Mwalimu Wa Kiislamu Ambaye Amejiachia Peke Yake Lakini Ameshindwa Kufanya Utafiti Wa Kimaandiko Ili Kudhibitisha Ukweli Huo Ya Kwamba Ukristo Ulikuwepo Tangu Ibrahim, Mimi Natoa Ushahidi Wa Kimaandiko Ndani Ya Biblia Takatifu Ili Kukazia Maneno Ya Mwl Isaya Benson 🎉🎉 Someni Yohana 8 : 56 - 59 Mtaona Yesu Mwenyewe Anadhibitisha Kwamba Alikuwepo Kabla Ya Ibrahimu Hali Ya Kuwa Yeye Ndiye Kristo.
Wa africa utakuja kuwana na hizi tamaduni za watu mnazipigania mtazani ni mali za waafrica ukoloni umewajaa kichwani
Wazungu na waarabu Wametupotosha sana.. Ila tumeamka sana sasa hv...
Ni utamaduni wa M/Mungu na muongozo kwa watu alietuumba Mimi na ww mbingu na ardhi na akambia vilivyomo humo ambayo hutuneemesha ktk maisha yetu matunda mboga na vya kula mbalimbali.km baba ktk nyumba anataratibu zake kwenye nyumba kwa watoto wake.jee vp Mungu aliyekuumba ulitaka akuwache tu ukivuta pumzi zake bure, Tafakari kwa kina ndugu yangu.
Mpk sasa sijaona mkiristo anaeijua qur ani bali hubeba tafsri wakatengeza hoja kwa akili zao ila hawajui chchte
Mashaallah shukran mwaalimu
Muongo Isaya
Masha'Allah Tabarakallah'hu Kareem.!!🔥🔥
Shaban:Yesu hakuacha watu wanaoitwa WAKRISTO, Yesu:Marko 9:41 Kwa kuwa ninyi ni watu Wakristo. Shabani muongo mkubwa kama allah alivyo muongo.
Mie kwa ufahamu wa kwangu ni kwamba kristo ni jina la yesu wala sio dini...
Hamna andiko kwenye biblia linalosema eti ukristo ni dini..
sema mimi sina elimu ya ukristo ili ufundishwe.
Isaya nakkbali kwa uchambuz wa vita hopo vp
US Govt are hypocrites, they are behind all attacks in Ghaza and now they will help the Zionists on invading Lebanon.
Issaya ni muongo maana hana andiko alilothibitishsa ukristo na uislam
Mwalimu wa kikristo asema ulianza na Ibrahim wanaokomenti mnamkataa mwalim wenu kwamba yesu ndio muanzilishi Embu wakristo tafuteni elimu kwanza, ndio mbishane punquzeni kuimba makanisani chochote mtakachofundishwa kwenu ndio tu
WAISLAMU waongo YESU NDIYE msingi wa kanisa hahusiki na UISLAMU.....siyo mwislamu. UISLAMU imeanza juzi tu Karne ya Saba...yaani MWAKA WA 622. Ukristo umetajwa katika KORANI Kwa sababu...ukristo ulitangulia..lakini UISLAMU. Umetabiliwa katika UFUNUO sura ya 9 yote.
@@hamisichakachaka Umetumia Upeo Mdogo Kumwelewa.
Mashaallah
Alhadulilah
Alhamdulilah natamani watu wote wasikilize hizi kripuza ustaz shaabani
Allah atakulipa
Kwanza hii nyimbo ya inayo imbwa na hii ligha mmi hainipendezi kabisa!!!!!!
Mungu kapigwa kofi..!😂😂
Ktk hii dunia kuna watu wa moton and peponi na haina haja ya kugombana ila waislam wote ni watu wa peponi.
Watu wa peoni ni wanaomkana Yesu sio Mwana wa Mungu!! Yohana 3:18 "Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakumwamini Mwana pekee wa Mungu." kwa taarifa yako issa bin maryam siye Yesu Kristo!
ndo yesu amezaliwa bila baba
Pepo ni ya Mwenyezi Mungu siyo ya Waislamu, Na Mwenyezi Mungu humuingiza kwenye pepo yake amtakaye , Kuna kundi katika Manaswara watakaoingia Peponi na kuna kundi katika Uma til Muhammad watakaongia peponi Na katika hayo Makundi machache tu ndo ya peponi na Mengi yatakuwa ya motoni
Akuna ata siku moja pasta au kuani atajibu Hoya ya muislam popo mwenye alishidwa kutetea ukristo kwa mohammed didati
ni nani aliye kudanganya wewew!!
Mwalimu shabani upo sahihi Masha'allah
Yeye mwenyewe kajichanganya dini kaanzisha iblahim inafata mafundisho ya yesu sasa yesu na iblahimu nani ameanza??
Habari sahihi ndio hii >>> Yohana 8:58 Yesu akawajibu, “Nawaambia wazi, kabla Ibrahimu hajazaliwa, ‘Mimi nipo.’ ”
Ukristo c dini..ukristo ni. Chama cha shetani tena hatari sana.ukristo ndio chanzo cha mabagha yote duniani kiongozi wao ni shetani
جزيت خيرا
Oh! Mashallah
Mashaallah Nakupa MILION MABRUK. NAKUPA MAUA YA ULIMWENGU WOTE. HONGERA.🎉 NAKUPONGEZA KWA KUTUELIMISHA MENGI YA DUNIA NA AKHERA. SHUKRAN AKHI. From OMAN
Shehe acha ubabaishaji wambie wenzio ukweli Ukristo ni maana yake ni wafuasi wa YESU abao walikubali kumpokea Yesu sasa uislamu unaufuataje kwani huyu isilamu alifanyanini duniani hata ufuate dini yenu haina Mbere wala nyuma wala mbapo kwenda hampajui jiulize nabii wenu katabiliwa na nani,kupachika hiyo.
😂😂😂 true kabisa
Wewe hujielewi akili za ukafiri umekukaa unatafuta jehenamu unaongea kama upo chooni point hata moja huna
Pole unatumia alkali yako kujib maswali hongera
Safi 🎉🎉
Ukitaka kujua alipotabiliwa Muhammad saw Muulize mchungaji wako kuhusu song of Solomon
Kama unajiamini mtafute bishop ngonyani
Ukiristo umeanza baada ya kufariki yesu na kuwekwa msalabani likapatikana neno kristo maana msalaba wakati wa uhai wa yesu hakukua na msalaba Wala neno kristo msalaba ulikuja baada ya kusulubiwa msalabani je yesu wakati wa uhai wake alihubiri dini gani
Yesu yupi alokufa yesu hakufa Mungu anakufa kwani
Sio kweli. unaweza kuthibitisha kwa maandiko??
Huyu isaya anaujua ukweli ila anawadanganya wakiristo maana wakiristo wao ni ndio tuu hawana hapana
Maalim uko sawa kabisa
Asalam alykum warhmatullah wabarakatuh natumia ni wazima mwalimu mie naanza kujifunza
th-cam.com/users/shorts1O27jg5qDog?si=zVLxJtYeEuSn9VVL